Diamond kununua hummer ya Gwajima

Diamond kununua hummer ya Gwajima

warumi

R I P
Joined
May 6, 2013
Posts
16,218
Reaction score
18,440
Kuna tetesi kuwa mwanamuziki diamond platnum amenunua hummer aliyokuwa akitumia mchungaji gwajima ambapo inasemekana kauziwa kwa bei ya kutupwa(haijajulikana bei gani). Tunasubiri tu baba ubaya atudanganye kaagiza ulaya milion 400.
 
Uwiii kama namuona mama ubaya ndani ya hummer!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna tetesi kuwa mwanamuziki diamond platnum amenunua hummer aliyokuwa akitumia mchungaji gwajima ambapo inasemekana kauziwa kwa bei ya kutupwa(haijajulikana bei gani). Tunasubiri tu baba ubaya atudanganye kaagiza ulaya milion 400.

Hummer model hiyo hazina bei kubwa pia hilo la gwajima halina kodi bei ikizidi sana 40m
 
hivi ile ya milion 250 ya kiumbe alinunua, au hii kiki nyingine
 
Kuna tetesi kuwa mwanamuziki diamond platnum amenunua hummer aliyokuwa akitumia mchungaji gwajima ambapo inasemekana kauziwa kwa bei ya kutupwa(haijajulikana bei gani). Tunasubiri tu baba ubaya atudanganye kaagiza ulaya milion 400.

Heh! Gwajima na dimondo tena!!! Kuna kitu hapa zaidi ya kuuziana.
 
Heh! Gwajima na dimondo tena!!! Kuna kitu hapa zaidi ya kuuziana.

Mmh jiran mimi mwenyew nimeshtuka apa, gwajima na ndomo wapi na wapi jaman? Kuna kitu nyuma ya pazia we ngoja tu soon tutayajua yaliyojificha
 
Uwiii kama namuona mama ubaya ndani ya hummer!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mi naomba tu iwe tetesi maana watatutesaje akina mama ubaya? Uwiii ntaficha uso wangu wapi mie warumi hater namba moja wa ndomo na mama ubaya, mungu aniepushie mbal na hii aibu iendelee kuwa tetes tu
 
Last edited by a moderator:
Uwiii kama namuona mama ubaya ndani ya hummer!

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums

Mi naomba tu iwe tetesi maana watatutesaje akina mama ubaya? Uwiii ntaficha uso wangu wapi mie warumi hater namba moja wa ndomo na mama ubaya, mungu aniepushie mbal na hii aibu iendelee kuwa tetes tu
 
Last edited by a moderator:
Hammer?katika gari naonaga ni kama trekita ndio hizo hazina mpango
 
♡Big paper, all flavors Send the word to the hood,I'm Jim Baker,Love don't cost a thing? Now who said that? Big pimpin' and ballin' who made it? I'm in that new hummer with spinnin' wheels and aww man, check out the grill!♡
 
Huu sasa utakuwa ushamba wa magari sasa daaa kila leo gari,gari ! Lakini dunia ni yake chaguo ni laake.......

Mi ningependa kusikia Maendeleo
ya nyumba yake!

Hakika ustaa unachangia wasanii kuwa vichaa!
 
hivi ile ya milion 250 ya kiumbe alinunua, au hii kiki nyingine

Alitangaza milioni 250 kumbe mwenyewe alikuwa analiuza 100,100,000. Na aliambiwa alipe kidogo kidogo na ikamshinda, mwenyewe akaichukua, wasanii waongo sana.
 
Back
Top Bottom