Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Nakumbusha tu. Private jet sio kama matako ambayo kila mtu anayo[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Watu kwa kufukua makaburi ni hatari..
Nenda China ukachukue uje kuuza na wewe.
Mbwembwe bila vitendo ni sawa na kupaka ranging upepo
Abunuwasi
Kila lenye heri........
yule anaejifunza urubani sijui nae yake itakuja lini
Kwani hajanunua?Watu ni wanafiki JF balaa. Imekuaje uzi wa feb,2014 ujadiliwe leo au hakuna nyuzi mpya?
Unadhani but huna uhakikaNadhani ndiye msanii tajiri kuliko wote Tanzania
Mi sijuiKwani hajanunua?
Hana hata vx aje anunue jet [emoji57] [emoji57]Kwani hajanunua?
Hana hata vx aje anunue jet [emoji57] [emoji57]
Jet wananuaga wanuka mavi kama yy????