SHERRIF ARPAIO
JF-Expert Member
- Aug 25, 2010
- 9,539
- 5,919
haaaaaa mkuu kua na imani na huyu kijana asee
Ok!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haaaaaa mkuu kua na imani na huyu kijana asee
Manji ana private jet mkuu fuatilia ujueMbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.
kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
We endelea ku google,Mbona alipo kwa back ground yake amearchive pakubwa sana? ninachokataa mimi ni haya mashauzi ya kuzungumzia Private Jet hizi ni daylight dream na ukitaka kuamini hilo Google hizo private jet ujionee bei zake.
kuna vitu basic kabisa bado hajafanya halafu analeta mashauzi yake hapa? hivi unadhani Mengi, Manji, Rostam and likes unadhani hawapendi kuwa na hizo private jet? huu ujinga ni vizuri akiwa anashare na mazuzu wenzake hukohuko Instagram lakini siyo kuleta hapa kwa makini.
Wakaanga sumuNaomba niwe wa mwisho kuamini diamond kununua private jet.
Samahani lakini.
Sijaelewa ni 2014 au 2018
Huu uzi ulianzishwa mwaka 2014, umeusoma lkn?Kuna wapuuzi watasema ni ya Kusaga
[emoji16] [emoji16]
Vipi kishanunua hiyo Private Jet?!
Happy bethidei yenyewe imeota mbawa ndio itakua ndege?