Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

Manji ana private jet mkuu fuatilia ujue
 
We endelea ku google,
 
Gharama za kumiliki private jet kwa mwaka ni kati ya dola 700000 na dola ml 4000000 kulingana na aina ya ndege!....kwa kipato gani kwa mwaka!!
 
kweli kabisa atanunua maana leo ni 2013 tusubiri 2014 ikifika atanunua tu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…