Diamond Kununua Private Jet Ndani ya Mwaka Huu (2014)

nitofautishie wewe

unajua kila mtu anakuwa na malengo katika maisha lakin si lazima ulipangalo litimie

but ile kind of thinking kwamba I want to do this and this ni nzuri atleast unaonekana una focus
Umenena vema kaka,kila mtu ana ndoto zake in life,kama huna ndoto ya kuwa mtu fulan,kumiliki kitu fulan bac unaishi ili iweje!kutimiza neno tu au!hata hao wanaotimiza neno ndoto za wakaishi paradiso au pepon na kumuimbia bwana,uki workhard na kuset goals zako vizur kwann usiwe na ndoto ya kuwa bakharesa!jide ktk wimbo wake wa mawazo aliomshirikisha Ay kayasema hayo yot wimbo unaitwa MAWAZO
 
Duh wabongo kwl tumerogwa tukarogeka km v8 kaazima kwa Chief Kiumbe ivi Jet mnadhani pakti ya kijoti cha Azam mnamtafutia lawama Platnumz hapa hajasema kuhusu yy kununua private jet mwaka huu mbn aliwahi weka picha ya Buggati akasema ivo2 acheni eti sawa ana mafanikio ila mnampa kesi hapa..hapa ndo tunasema mmenukuhu vibaya.
 
hahaha, kweli anaweza 'kununua' halafu baada ya siku mbili atajitokeza jamaa ana kitambi kikuuuubwa anaitwa chifu....
 
anaweza aknunua cessna zile ni kama mil 200 za kibongo ivi unapata ila iyo gulfstream kwenye picha itakua ngumu mostly wanamilikia bilionea wa mtoni si milionea wakat yeye hata milionea hajafika( talking interms of USD si pesa za madafu)!!!!
 
Dah, hivi Budget ya kununua ile jet ya Rais si iliharibu mambo mengi hadi wananchi wakanuna kutokana na gharama yake. Uenda Dai anataka kununua hiyo picha sio ndege.
 
Niko zoezin nikitoka ntacoment
 

Attachments

  • 1392390538579.jpg
    11.9 KB · Views: 453

Utawaweza watz ..kwanza hiyo post ina week ngapi sijui insta..na ndoto zake ni siku moja amiliki private jet,hajasema mwaka huu anannunua na inaweza ikatimia pia
kwa miaka 4 iliyopita
kipindi analipwa elfu 1500 kwenye kibarua..enzi hizo angesemandoto zake aje amiliki
gari si angeonekana kichekesho>??
lakin now kwake kununua gari ni kawa anaenda kununua ndala kariakoo
..so kila kitu kinawezekana
 

Ndo maana nakukubali H.O.D habari zako ni uhakika 800%
 
Ndo maana nakukubali H.O.D habari zako ni uhakika 800%

Ila bado nimekuuliza una tatizo gani na mimi...na ckai mtu kucoment kunihusu,acoent atakavyo but kwan huwez kucoment kwa busara na kwa nia njema tu kana kwamba una ugomvi nami?
 
tusiwe na akili mgando, tuzungumze kwa facts. anaposema 2014 that means he dreams to buy it in 2014 which will always be a dream.
tuangalie facts;
kipato chake kikubwa ni shows na ubalozi wa makampuni.
sidhan kama amewah kufanya show akalipwa zaidi ya 40mil. sasa let me assume this year atakuwa analipwa 50m which is likely to be impossible.
within a year nampa kila siku awe anapiga show moja that means 365 shows (ambayo kama ikitokea atakuwa kavunja rekodi ya dunia).
that means atakuwa kapata kama 18.2bil ambayo sidhan kama inaweza ikanunua hiyo jet.
kwa uwezo wake wa sasa hata akipewa tu hiyo jet awe anaihudumia jasho la meno litamtoka.
AHADI: Kama ndani ya miaka mitano ataweza kununua hiyo jet ntakunya vifungu vidogo vidogo hapa hadi chalinze mzee
 
Ila bado nimekuuliza una tatizo gani na mimi...na ckai mtu kucoment kunihusu,acoent atakavyo but kwan huwez kucoment kwa busara na kwa nia njema tu kana kwamba una ugomvi nami?

Mimi sina ugomvi na wewe na ninakupenda sanaaaa, au we hunipendi?
 

FACT,great thinker in deed
 
V8-chief kiumbe
Jet-Papa Msofe au ostazi juma?????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…