Diamond kupata mtoto


Do ur home work, huyu Ivan na utajili wote alionao na watoto waliozaa pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu na kumiliki taasisi za kisomi kimemshinda nini ndio urudi kwa ndugu yetu Mondi ambaye bila muziki kwenye soko la ajira hayumo.
 

Attachments

  • 1421380545877.jpg
    41.8 KB · Views: 298
  • 1421380568554.jpg
    48.5 KB · Views: 292
Huwezi kuweka picha ya embryo hadharani kiasi hiki.....huu ni ulimbukeni

Watu huwa hawasemi kabisa

Ukuaji wa mtoto una changamoto nyingi
wakina nani hua hawasemi? his account, his babe, his fans, his followers anaweza akaweka chochote anachotaka ( ki-civilized zaidi ). How disturbing was that image to you (manake swali litakuja, ooh ye ni public figure kwanini aweke ile?)??? Je ile picha ilikua na contents ambazo jamii (kimaadili) haitakiwi kuziona?
just FYI nimeipata hii kutoka abc ( American Broadcasting Company " Inaheshimika sana hii network marekani ") picha kwene video ya trailer ya autobiography ya Bey "Beyonce: Life is But a Dream" ambazo zinaonyesha ultrasound ya BlueIvy Carter akiwa tumboni wakati ule


Beyonce Shares Blue Ivy Ultrasound in New Trailer - ABC News
 
BestOfMyKind Kiafrika na kitanzania haishauriwi mkuu

Sasa hayo ya kina blue nani sijui orange nini nakuachia wewe

Sasa hayo ya kina Blue sijui orange niniB estOfMyKind
 
Last edited by a moderator:
Do ur home work, huyu Ivan na utajili wote alionao na watoto waliozaa pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu na kumiliki taasisi za kisomi kimemshinda nini ndio urudi kwa ndugu yetu Mondi ambaye bila muziki kwenye soko la ajira hayumo.

Unachoshindwa kitambua ni kwamba mapenzi hayaangalii degree wala mali

Mapenzi ni kitu cha tofauti sana.

Kuwa hater kusikufanye uone kwamba Dai ni wa hovyo kiasi hicho
 
Dogo anamatatizo with tunawatoto tupo kimya yeye anaringishia mimba na mikelele kibaooo tuliambiawa kinawema hapa mbona kimya? Au dogo hajiamini ndio maana amekuwa mtu wakupiga mayowe
 
Unachoshindwa kitambua ni kwamba mapenzi hayaangalii degree wala mali

Mapenzi ni kitu cha tofauti sana.

Kuwa hater kusikufanye uone kwamba Dai ni wa hovyo kiasi hicho

Shabash!....

Eti hater nimchukie Diamond for what? Kuna mabilionare hapa kina Bakhresa kwa nini wasichukiwe wao? Ujinga huu.
 
Do ur home work, huyu Ivan na utajili wote alionao na watoto waliozaa pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu na kumiliki taasisi za kisomi kimemshinda nini ndio urudi kwa ndugu yetu Mondi ambaye bila muziki kwenye soko la ajira hayumo.

mapenzi hayana formula.....akikushinda wewe au mimi sio sababu amshinde na yule....time will tell.
 
Shabash!....

Eti hater nimchukie Diamond for what? Kuna mabilionare hapa kina Bakhresa kwa nini wasichukiwe wao? Ujinga huu.

It does not need someone to be a genious to know which kind of a gay you are
 
Do ur home work, huyu Ivan na utajili wote alionao na watoto waliozaa pamoja na kuwa na elimu ya chuo kikuu na kumiliki taasisi za kisomi kimemshinda nini ndio urudi kwa ndugu yetu Mondi ambaye bila muziki kwenye soko la ajira hayumo.

alipoachana na Ivan hzo taasis za Ivan zimekufa au kafilisika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…