Paula kilaki
JF-Expert Member
- Jun 26, 2014
- 1,909
- 1,290
Hizi timu zinakoelekea kubaya... Huenda sisi mashabiki tunajenga au tunabomoa kabisa.
Kama Diamond alipost hii picha kwa kumjibu Alli kiba zile picha za watoto au kuwajibu wanaomwita MGUMBA.... ALIKOSEA SANA.
Kama kweli kasababisha kwa Zari , hakukua na haja kabisa ya kuanza tapatapa. Angetulia tuli ,, ije ituchukue kama bonge la surprise. Sasa hapa kashawapa ulaji waganga.,, haters watafanya lolote wawezalo. Sijui.
naona akili ilikuwa kumjia baadae aidha kwa kushauriwa na watu but was too late, lets hope Mungu atawalinda against all evils.