ukweli UPI?Nawaza kwa sauti tu..
Kati ya Ojuelegba vs Nana ni ipi ilikimbiza zaidi mwaka jana? Jibu mnalo..
Ok, Ngoja niwe mzalendo na nipige kura kizalendo ila ukweli uko moyoni[emoji41]
Mimi nilikuwa sijui ngoma gani wameingilia kama ni hivyo Ojuelegba ni hit kubwa sana huwezi kufananisha na Nana hayo ndio maoni yangu, ile ngoma ni level nyingine kabisa.Jitafakari upya kijana, BET hawafanyi maamuzi kutizama majina ya wakina Chris Brown maana hao ni waajabu kwetu ila kwao ni wa kawaida saaaana..
Jiulize Davido mwaka jana alitoa collable na MeekMill ila mwaka huu hayupo katika hata hizo nominations, Kwahiyo kigezo cha majina ya wasanii hao hakina uzito wowote..
Pili unapoona Wizkid ametokea kwenye collable ya One dance na inatisha Billboards Sio sababu yeye kupewa marks, kwakuwa
1. Wimbo sio wake
2. Wimbo hautambuliki kwenye BET mwaka huu maana hata Drake ameingilia Hotline bling n.k ila sio one dance
3. Kila msanii pale ameingia kwa wimbo wake na sio kuangalia mgongo wa fulani.. Wizkid kaingilia Ojuelegba, Diamond ameingilia Nana, sasa kutafuta mshindi unaanzia hapo, kuelekea kura za mashabiki, majudge, n.k
Mimi nilikuwa sijui ngoma gani wameingilia kama ni hivyo Ojuelegba ni hit kubwa sana huwezi kufananisha na Nana hayo ndio maoni yangu, ile ngoma ni level nyingine kabisa.
ndio maana nimesema maoni yangu wako watakao kuwa wanaona Nana, mimi nimejiongelea kama mimi.Mkubwa kwa kupima nini???
tarehe ngapi hizi tunzo zinatoka?maana june ndo inaisha hii?ndio maana nimesema maoni yangu wako watakao kuwa wanaona Nana, mimi nimejiongelea kama mimi.
Kitendo cha kuperform katika tuzo hizo ni jibu toshaacha kupotosha umma. Kipengengele alicho normineted diamond platnumz cha mtumbuizaji bora wa mwaka kinamruhusu kuchukua tuzo. Diamond yuko vizuri ki utumbuizaji kumzdi wizkid. Ww unayemkatsha tamaa umekuwa Mungu?? Shame on you
Ojuelegba ndiyo ile aliyoweka kipande cha video na alicia Keys akiicheza ama ndiyo ile Drake aliyoifanyia Remix? ndo inashindanishwa na Nana? DuhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhMimi nilikuwa sijui ngoma gani wameingilia kama ni hivyo Ojuelegba ni hit kubwa sana huwezi kufananisha na Nana hayo ndio maoni yangu, ile ngoma ni level nyingine kabisa.
yap yapKitendo cha kuperform katika tuzo hizo ni jibu tosha