Diamond kuwa msanii wa kwanza kuumizwa na siasa

Kumbuka Fedha zilimfanya Yuda akamsaliti Yesu. Tusubiri Tuone kilio chao cha hati Miliki karma kitasikilizwa, Maana Kati ya ahadi walizotoa wao Hawapo .Mola tujalie uzima
 
siasa zimeharibu timing xa wanamuziki bila kujua wanaingiza kidogo na kupoteza kikubwa Jst imagine Lowassa akishika nchi kw wanaomtukana hadharan na kufanya kampen against itakuaje??

Itakuwaje kuhusu nini? Aliyekwambia ataua watu ni nani? Ushasema kufanya kampeni, ulitaka kampeni ziwe za kumsupport yeye tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…