Franky Samuel
JF-Expert Member
- Oct 10, 2018
- 5,195
- 13,785
Naomba kukazia hapaVidole vyako vinalingana kwani lakini huwezi zarau kimoja maana kikikatika kuna baathi ya mambo hutaweza fanya
Umeua.Vidole vyako vinalingana kwani lakini huwezi zarau kimoja maana kikikatika kuna baadhi ya mambo hutaweza fanya
Nauliza tu si kwa ubayaNaomba kukazia hapa
100%Naomba kukazia hapa
inawezekana maana natamanigi kujua mambo ya huyu jamaaCongratulation kwake hatua nzuri, #wasafi.
Kibakuri hapendi show off anamiliki majengo kama hayo 10 kwa madiba
Wakati Diamond akisonga hatua kumi mbele alikiba yeye anasonga ugali.
Siku nyingine acha kumfananisha diamond na wasanii wengine diamond Ni Tasisi teyali kulikuwa haina haja ya kummention alikiba wakati unajua kabisa diamond kapiga hatua kubwa Sana kushinda wasanii watanzania.Wakati Diamond akisonga hatua kumi mbele alikiba yeye anasonga ugali. Kumbe alikiba alipoteza account yake ya audiomack yeye na management yake ndo wanaangaika kuitafuta.
Wakati Diamond akisonga hatua kumi mbele alikiba yeye anasonga ugali.