Acha uongo,wewe umeona wapi hiyo ya DIAMOND kupiga picha na ma star wa nje ????Huyu bwana mdogo ni msanii mkubwa kabisa kibongo bongo na kiafrika but kitu kimoja tu ananiacha hoi ni vile kupenda kupiga picha na mastar wa mbele. Sijui anaonaga sifa?
Mimi kwangu naona kama ushamba tu hivi coz cjaona msanii yyt wa kibongo au A list ya wasanii Africa wakifanya huo ushamba
Mfano tu mzuri King Kiba kafanya ngoma hadi na kina R Kelly lkn hana hizo ...anakera kweli
Wewe kinakuuma nini hasa, hata ikiwa ni ushamba wewe fanya yako mwanaume gani unafuatilia maisha ya mwenzako, kwani anavunja sheria gani ya nchi ni lini waafrika tutaacha kujadili ya watu au ulitaka aje apige picha na wewe, daaah aiseeh waafrika tunasafari ndefu mtu akifanikiwa shida, akifulia shida.Huyu bwana mdogo ni msanii mkubwa kabisa kibongo bongo na kiafrika but kitu kimoja tu ananiacha hoi ni vile kupenda kupiga picha na mastar wa mbele. Sijui anaonaga sifa?
Mimi kwangu naona kama ushamba tu hivi coz cjaona msanii yyt wa kibongo au A list ya wasanii Africa wakifanya huo ushamba
Mfano tu mzuri King Kiba kafanya ngoma hadi na kina R Kelly lkn hana hizo ...anakera kweli
WanamuombaaWanamuomba kupiga naye picha. Akatae?
Wewe usijifanye huoni maswali yangu,NAKUULIZA HIVI,WEWE UMEONA WAPI HIZO PICHA ZA DIAMOND AKIPIGA PICHA NA MA STAR WA NJE ????Wanamuombaa
Si bongo star?Wanamuombaa
Penye ukweli lazima tuseme apunguze shobo kwa wanaumeMashabiki wa Mondi na Kiba wanafanana na wale wa Barca na Madrid..,you never see any good kwa mwenzako!
Mashabiki wa Mondi na Kiba wanafanana na wale wa Barca na Madrid..,you never see any good kwa mwenzako!
Tumechoka au Umechoka mswahili bhana yy ni mtu wa nongwa tuuMwambien apunguze tumechoka na shobo zake
Anapiga picha za kumuonesha tiffa baadae atakapokuwa ameachana na muziki so mchukulie kama alivyoAache shobo za kushokea wanaume kila cku picha utafikiri ndo anachipukia