Diamond kwa nyimbo hizi mbili mpya: Hata ukistaafu Mziki leo sina cha kukudai Kamanda, hebu sikiliza na wewe.

Diamond kwa nyimbo hizi mbili mpya: Hata ukistaafu Mziki leo sina cha kukudai Kamanda, hebu sikiliza na wewe.

Mi naona ameimba vizuri kuliko kawaida. Labda we humpendi D kama mimi ila nyimbo bomba
 
Eti za kawaida sana....

Hata mwenyewe Diamond anafahamu hizo sio sehemu ya zile alizokusudia kuwa big hits kwake... zile ni matunda ya mtu ukiwa na studio! Unarekodi muda wowote ukijisikia na kuachia bila kuwa kwenye program au ratiba maalumu!!!

Look, Diamond nyimbo zake huwa anatanguliza videos... hivi hushangai zile kaanza na audio! Tena sio wasafi.com kwamba tungesema anataka kuuza lakini kaachia Youtube!!!

Sio hivyo tu, Diamond ni bingwa wa promo!!! Umeshaona anazifanyia promo yoyote zile ngoma?! Hata huko Instagram hajazi-post!!! Ni kawaida ya Diamond hiyo?!

Lakini ilivyo ni kwamba, ngoma is about taste. Msanii anaweza asiwe serious na track husika lakini watu wakaipenda... haidhuru hata kama wewe huzipendi!!!
hapo kwenye kutokuwa serious na watu wakapenda mfano mzuri ni ngoma ya "Ukimuona" haikuwa ktk ratiba ya ngoma zake serious na aliiichukulia poa sana lkn ni ngoma iliyopendwa na bado inapendwa na watu,wengine wanafika mbali kabisa kwa kusema kuwa ndio wimbo bora aliwahi kuandika miongoni mwa nyimbo zake zooote...mpaka christian bella alisikitika sana kuona diamond wimbo mkubwa kama ule kauchukulia poa.
 
Subiri na sisi team kiba tuje na seduce remix ndo mtatujua.
 
hapo kwenye kutokuwa serious na watu wakapenda mfano mzuri ni ngoma ya "Ukimuona" haikuwa ktk ratiba ya ngoma zake serious na aliiichukulia poa sana lkn ni ngoma iliyopendwa na bado inapendwa na watu,wengine wanafika mbali kabisa kwa kusema kuwa ndio wimbo bora aliwahi kuandika miongoni mwa nyimbo zake zooote...mpaka christian bella alisikitika sana kuona diamond wimbo mkubwa kama ule kauchukulia poa.
Upo sahihi kabisa na hata video hakutengeneza.
 
Huyu jamaa ni fundi ameanza kunirudisha enzi za ukimuona hasa hapo kwenye niache.
Jamaa ana utunzi flani ambao nlikuwa meumiss safi sana hata mimi hapa nampa big up maana hizi ndizo nyimbo zetu bwana zile za kinaija mimi siIelewag
Concurred [emoji106] [emoji106] [emoji106]
 
Sidai tukul

Amejitahidi sana Mtanzania mwenzetu huyu.
 
Hivi watanzania sisi tuna nini? Akiimba nyimbo za kima taifa kama Hallelujah mnasema atapoteza mashabiki wa ndani Haya sasa katoa izo nyimbo mbili tena mnasema hiz hazitovuka bodaa

Sasa nyie mnataka kijana wa watu afanyajeeee
 
Team kiba mpaka hilo nalo mnabisha jamani
Na ninani aliesema taarabu ndio nyimbo za vijembe pekee?

Itazame na kuisikiliza hip hop ya marekani utapata majibu ya hilo mkuu
Sikiliza hawa watu kwa umakini
(1) Jay z
(2) kanye west
(3) Eminem
(4) Future
(5) Meek mill
Nazani wanatosha hao japo ni wengi mno
Acha ushabiki usio na tija diamond anafanya vizuri kuliko alikiba international n locally kamzidi creativity.

Wote hawa ni wasanii wetu na tunawasapot ila kwenye suala la kurudia melody hakuna melody mpya duniani zote ni zilezile
 
Sikomi dhahiri kapigwa dongo wema hahahha,siwaamni wacheza sinema,nilimpaga mimba akachomoa chalii,ndo sikushangaa kuhama ccm kwenda chadema teh teh teh mond kiazi kweli....good work Chibu.
 
Hivi watanzania sisi tuna nini? Akiimba nyimbo za kima taifa kama Hallelujah mnasema atapoteza mashabiki wa ndani Haya sasa katoa izo nyimbo mbili tena mnasema hiz hazitovuka bodaa

Sasa nyie mnataka kijana wa watu afanyajeeee
Bora uulize...nazani kuna watu wanajitoa ufahamu tu..maana yeye mwenyewe alishaweka wazi utaratibu wake wa kazi kwamba kuna zile local kwa mashabiki wa east africa na international kwa soko la nje...na akasema kabisa hizo local zikivuka mipaka ni by chance tu lkn sio target.
 
Hivi hao wanawake walioimbwa kwenye wimbo wa Sikomi wamekaa tu kimya na kwa uzuzu wao wataimba na kucheza.... lol
 
Back
Top Bottom