Diamond kwenda Nigeria Kufanya Video Nyingine

Diamond kwenda Nigeria Kufanya Video Nyingine

Haya bana asije kuwa anapeleka sembe tuka umbuka maana---
 
Kma hujui kitu kaa kimya...na chuki zako za kijinga wenzako wanazid kufly kila msimu

mkuu mi sina chuki, jua kuchangia hapa haimaanishi unajua kile kilichoandikwa...sote tunabaki kuwa wasomaji na kuchangia au kutoa maoni sawa na tulivyoelewa
kwa mimi hiyo taarifa haijanitosha kuamini kuwa waghana na wanigeria wanagombea kolabo na platnums, ila nimeielewa kuwa diamond anakwenda kusaka mtu wa kufanya nae kolabo kati ya hizo nchi mbili......
pia naomba uelewe mi sina sababu wala uwezo wa kumchukia au kumpenda mtu kama daimond, kwa sababu haathiri maisha yangu na family yangu kwa namna yoyote ile!!
Ni hayo tu!!
 
Itakuwa ndio video ambayo itambid atumie badget kubwa kuliko zote alizowahi fanya.....Huo wimbo wa hiyo video sasa,na vichwa/wahusika watakavyokuwemo humo!!!!!!!ni shidaaaa ya mwaka...kaeni tu mkao flan

acha kabisa kifesi yani unazidi kutupandisha mizuka sisi mashabiki wa diamond
 
mkuu mi sina chuki, jua kuchangia hapa haimaanishi unajua kile kilichoandikwa...sote tunabaki kuwa wasomaji na kuchangia au kutoa maoni sawa na tulivyoelewa
kwa mimi hiyo taarifa haijanitosha kuamini kuwa waghana na wanigeria wanagombea kolabo na platnums, ila nimeielewa kuwa diamond anakwenda kusaka mtu wa kufanya nae kolabo kati ya hizo nchi mbili......
pia naomba uelewe mi sina sababu wala uwezo wa kumchukia au kumpenda mtu kama daimond, kwa sababu haathiri maisha yangu na family yangu kwa namna yoyote ile!!
Ni hayo tu!!

umejieleza vizuri, hongera kwa hilo mkuu
 
Back
Top Bottom