Two dimension array
JF-Expert Member
- Jul 25, 2018
- 1,592
- 2,381
Na ndo tunazipenda balaaaa ,nenda katafute tafsiri ya neno tungo na maudhui kisha linganisha na muziki bulaza
Hakuna mwanamuziki anayependwa na wote... We sikiliza singeli zako waachie wenzio MONDI wao.... You are not the SI UNIT....Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Wivu ni kidonda. ..... simpendi diamond but siwezi kukutaa kuwa ndiye msanii namba 1 katika wasanii wanao fanya vyema hapa nchini. .......Pia ni Kijana aliyefanikiwa akiwa Katika umri mdogo licha ya kuzaliwa katika family ya ki-masikini. ..
Kwa namna 1 ama nyingine ana stahiki pongezi-
Licha ya madhaifu mengi aliyo nayo ambayo Yana changiwa na Utovu wa nidhamu alionao ambayo huwenda ni mlipuko unapatikana sasa baada ya kukosa malezi bora
Kwan msanii ni diamond tuuu,Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Pure bongo fleva ndio ipi ?Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
imba na wewe tusikie,,,waambie wenye muziki wauchukue usiendelee kuharibiwaNdugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Malezi ya pande mbili...Malezi bora ni yapi[emoji848]
Malezi ya pande mbili...