Bushrah
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 413
- 791
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Etii aliyeandika huu UZI nae ni mwanaume jamaa
daah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Etii aliyeandika huu UZI nae ni mwanaume jamaa
daah
hata yy haijui hiyo pure bongo flevaPure bongo fleva ndio ipi ?
Hahaa! Namkumbuka yule mganga, tena kitambo sana ilikuwa pale EATV!2017 hapo tuu, Kuna hadi mganga alisema jamaa mwisho wake kutamba 2013 huko, enzi za ,magazeti ya Shigongo yanatamba,
Kajaa kutest kama rhumba inapendwa we jamaa waache watu wajichagulie wanachotaka na hao wasipe dwa wajitafakati kuna nn Mfano hizi nyimbo alizotoa Dimond zina maudhui mazuri sana akasikilize tena kanyaga The one Inama huu wa timua vumbi sijausilikiza nadhaninkuna shida ya lugha kwa mleta mada maana ya maudhui katika tungo kama ukibyodokezaNa ndo tunazipenda balaaaa ,nenda katafute tafsiri ya neno tungo na maudhui kisha linganisha na muziki bulaza
Kabisa ila watu wajionee wenyewe na hoja wanazotelaNa suggest morderators mu add kitufe cha downvote.
Kuna baadhi ya watu inabidi watendewe haki .
jibu la kimbulula sana hili,wewe ni jinga kwahiyo sisi yatima tangu utotoni tuna malezi mabovu mbona tuna heshima na familia zetu tunazilea kwenye maadili,ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha upumbavu wako hadharaniMalezi ya pande mbili...
Kana wivu haka ka jamaa
KidumuAchana na hawa bongo fleva na movies, kwanza katika mkakati mpya wa kurudisha uzalendo zinafufuliwa bendi zetu tukianza na vijana jazz na mashirika hivyo tegemea kuziona nssf jazz band, tamisemi music, na chamudata kurudia hadhi yake.
Fasihi inakusumbua sioNdugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Pumbavu mwenyewe! Fala wwjibu la kimbulula sana hili,wewe ni jinga kwahiyo sisi yatima tangu utotoni tuna malezi mabovu mbona tuna heshima na familia zetu tunazilea kwenye maadili,ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha upumbavu wako hadharani
Jamaa yangu Muziki siyo wa wote na hulazimishwi kumshabikia muziki fulani. Mondi anasaka soko la kimataifa. Shida ya watanzania mnataka kuishi maisha ya 1961 wakati tupo mwaka 2019. Nick Minaj anaenda kupiga show Saudi Arabia.Ndugu wana celebrities forum.
Nakiri kabisa pamoja na nyimbo za diamond platnum kutrend bwna mdogo inaonyesha jinsi gani ameshuka kiwango kwa spidi kubwa mno.
Nilishasema huko nyuma kwamba anguko la huyu bwna haliko mbali! Na huu ndo mwanzo wa kuelekea shimbo
Nyimbo za hovyo maudhui ya hovyo hazifai kusikiliza na watoto wala wazazi Mara 100 nisikilize rhumba kuliko uchafu wako Mara sijui vumbi, kanyaga sijui midude gani hueleweki!
Unatuharibia mziki wetu! Tunataka pure bongo fleva na sio uharo unaotoa hovyo sana huyu Jamaa siku hizi
Unachokisema ni sahihi kabisa Mkuu,pamoja na madhaifu yake mengi ila jamaa ni mpiganaji sana!Wivu ni kidonda. ..... simpendi diamond but siwezi kukutaa kuwa ndiye msanii namba 1 katika wasanii wanao fanya vyema hapa nchini. .......Pia ni Kijana aliyefanikiwa akiwa Katika umri mdogo licha ya kuzaliwa katika family ya ki-masikini. ..
Kwa namna 1 ama nyingine ana stahiki pongezi-
Licha ya madhaifu mengi aliyo nayo ambayo Yana changiwa na Utovu wa nidhamu alionao ambayo huwenda ni mlipuko unapatikana sasa baada ya kukosa malezi bora
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Asante n barikiwa sana NduguPoint of correction, hizo nyuzi zilianza back in 2012, na kufikia 2014 ndo zikaongezeka kwa kasi sana!!! Hiyo ni June, 2014!! Miezi sita baadae, yaani January 2015, ikaja hii:-, mwezi mmoja baadae, yaani February 2015 akaja huyu:-
Na miezi 10 mingine baadae, yaani December 2015 ikaja hii:-Kwahiyo hizo ramli za 2017 ni za baadae sana! In short ni ramli za watu waliopata smartphones kuanzia 2017!