Diamond kwisha habari yake

2017 hapo tuu, Kuna hadi mganga alisema jamaa mwisho wake kutamba 2013 huko, enzi za ,magazeti ya Shigongo yanatamba,
Hahaa! Namkumbuka yule mganga, tena kitambo sana ilikuwa pale EATV!
 
Na suggest morderators mu add kitufe cha downvote.
Kuna baadhi ya watu inabidi watendewe haki .
 
Na ndo tunazipenda balaaaa ,nenda katafute tafsiri ya neno tungo na maudhui kisha linganisha na muziki bulaza
Kajaa kutest kama rhumba inapendwa we jamaa waache watu wajichagulie wanachotaka na hao wasipe dwa wajitafakati kuna nn Mfano hizi nyimbo alizotoa Dimond zina maudhui mazuri sana akasikilize tena kanyaga The one Inama huu wa timua vumbi sijausilikiza nadhaninkuna shida ya lugha kwa mleta mada maana ya maudhui katika tungo kama ukibyodokeza
 
Achana na hawa bongo fleva na movies, kwanza katika mkakati mpya wa kurudisha uzalendo zinafufuliwa bendi zetu tukianza na vijana jazz na mashirika hivyo tegemea kuziona nssf jazz band, tamisemi music, na chamudata kurudia hadhi yake.
 
Malezi ya pande mbili...
jibu la kimbulula sana hili,wewe ni jinga kwahiyo sisi yatima tangu utotoni tuna malezi mabovu mbona tuna heshima na familia zetu tunazilea kwenye maadili,ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha upumbavu wako hadharani
 
Kana wivu haka ka jamaa

Yani ameona mpaka atafute wa kumsapoti[emoji23][emoji23]

Kama kijana kaweza kutoka from scratch mpaka kanununuq just a V8 achana na mengine.

Huyu jamaa akasugue mguu na jiwe alale
 
Achana na hawa bongo fleva na movies, kwanza katika mkakati mpya wa kurudisha uzalendo zinafufuliwa bendi zetu tukianza na vijana jazz na mashirika hivyo tegemea kuziona nssf jazz band, tamisemi music, na chamudata kurudia hadhi yake.
Kidumu
 
mchawi sio lazima abebe tunguli hata simu na maandishi yake yanatosha kuwa uchawi.
 
Fasihi inakusumbua sio
 
jibu la kimbulula sana hili,wewe ni jinga kwahiyo sisi yatima tangu utotoni tuna malezi mabovu mbona tuna heshima na familia zetu tunazilea kwenye maadili,ni bora kukaa kimya kuliko kudhihirisha upumbavu wako hadharani
Pumbavu mwenyewe! Fala ww
 
Jamaa yangu Muziki siyo wa wote na hulazimishwi kumshabikia muziki fulani. Mondi anasaka soko la kimataifa. Shida ya watanzania mnataka kuishi maisha ya 1961 wakati tupo mwaka 2019. Nick Minaj anaenda kupiga show Saudi Arabia.
Hapo ulipo huwa haungalii nyimbo za nje? Angalia Press by Cad B
 
Unachokisema ni sahihi kabisa Mkuu,pamoja na madhaifu yake mengi ila jamaa ni mpiganaji sana!
 
[emoji3][emoji3][emoji16][emoji16][emoji16] Asante n barikiwa sana Ndugu
 
hahaha tukutane mwaka 2024 wakati kuna mtu kaweka uzi kama wako hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…