Nafikiri mtu mwenye kuweza kumpatanisha diamond na baba yake ni mama wa diamond, na inaonyesha Hana dalili ya kufanya hivyo kwasabab ya upungufu wa hekima regardless ya mateso aliopitia. Hata jay z alipatanishwa na baba yake kwa busara ya mama yake! Diamond Hana father figure wa kum guide kimaisha Ukiangalia tabia na matendo yake yana vinasaba vya kike zaidi kwa vile malezi yake alilelewa na mama tu, I hope he's wise enough to reconcile with his father before he's gone for good pengine ndio atakuja kugundua kiasi gani ilikuwa muhimu kupatana na baba yake! Hakuna hata mmoja wetu anayejua kwa uhakika kwann baba yake alikimbia Mimba ya diamond kuna watu wanadai mama yake alikuwa muuza pombe za kienyeji watu wengi walikuwa wanajipigia tu kwa starehe zao, Ni wakati muafaka ajue kisa cha baba yake kukimbia na Sidhani Kama alishawahi kufanya hivyo! Zaidi ya kushibishwa maneno ya upande mmoja. Kuna mambo inabidi wakati mwingine ukubali ili yaishe ili upate Amani zaidi, visasi ni kwa watu wenye upungufu wa hekima, hata South Africa alipotoka Mandela walifanya reconciliation ya mambo yaliotokea huko nyuma.