Diamond mdogo wangu, naomba nikushauri kidogo

Diamond mdogo wangu, naomba nikushauri kidogo

Yani,mwaka wa7 huu wanasubir ashuke,wamesahau alishatoka TZ YUPO AFRICA AND THE WORLD SASA,WAACHE WASUBIRI TU MAANA SI KWA benchi hilo okaa kusubir
Tatizo la watanzania wengi ndlo hili. Mtu anapomshaur mtu wengi wqnaona ni kama upinzani. Lakini mnasahau msemo unaosema "criticism makes it perfect".

Yan Diamond mnamuona kma mungu mtu. Kuwa yy hweZ kosea kila ki2 anachofanya ni sawa.
 
Tatizo la watanzania wengi ndlo hili. Mtu anapomshaur mtu wengi wqnaona ni kama upinzani. Lakini mnasahau msemo unaosema "criticism makes it perfect".

Yan Diamond mnamuona kma mungu mtu. Kuwa yy hweZ kosea kila ki2 anachofanya ni sawa.
OK Mkuu,lakini kuna ushaur na kuna laghai.We naimani msomi vizur unajua lugha ya picha.Kwa lugha ya picha wengi mnatumia staili hyo ili lolote likitokea mseme NILISEMA.by the way hamia kuwashaur na hao BASATA na uwaulize vizur madhumuni yao nn?maama tuendako kama wanavyosema watu, music watapiga watu na suti na magauni tu.
 
Tatizo la watanzania wengi ndlo hili. Mtu anapomshaur mtu wengi wqnaona ni kama upinzani. Lakini mnasahau msemo unaosema "criticism makes it perfect".

Yan Diamond mnamuona kma mungu mtu. Kuwa yy hweZ kosea kila ki2 anachofanya ni sawa.
Tatizo mifano uliyotoaa na ukiliinganisha na uhalisia ni UONGO MTUPU
1.Drake hafanani hata kidogo na Lili Wyne.
2.Hayupo msanii USA alikosa tuzo au kushuka kwa sababu ya picha za uchi na nyimbo za MATUSI ,ukiona msanii kashuka USA ,jua wakati wake umepita au kaishiwa na ubunifu.

Ungejaribu kuja na reference za ukweli ili uwe na fact za kutosha ,hamna kitu zaidi ya hapo ni chai tupu.
 
Wema na Joketi,na team wamempongeza....
 
"
Sasa narudi kwa diamond mdogo wangu.
Kwa haka katabia unakotaka kuanzisha. Katakutoa kwenye game vibya sanaa. Utakuwa unatoa hit songs kila siku lakini Anashangaa awards wanapewa wengine
"
heradius12 Hapo haupo sahihi,alafu umetupiga changa na unaoneka si mfuatiliaji ,hivi HUMBLE ya kendrick Lamar ina matusi mangapi na imechukua mpaka grammy au unawajua vizuri Madona,Beyonce, wanapicha kibao za nudity umeangalia tour zao walizopiga,utajiri wao,Tuzo zao na kama kuhusu matusi ktk nyimbo mia za hip hop ,utakuta nyimbo 3 ndio hazina matusi zote mitusi ya kumwaga na tuzo wanachukua na kama hujui hao BET ndio wanaoongoza kuwatuza hao wasanii unao waita ww wanamatusi.Umetupiga changa hapo sehemu uliyosema et DRAKE na Lil wyne wanafanana ,hapo umetudanganya.Hebu fuatilie EMINEM (huyo Drake mtoto wa juzi),video zake za zamani na mistari yake na kaa ukijua zaid ya 80% ya nyimbo za Hip Hop ni matusi matupu na tuzo wanachukua pamoja na matusi yao na hizo picha za uchi.
Ahahaaaah...
Umemuweka kwenye kona mbaya,sijui kama atachomoka hapa..!
 
Tatizo la watanzania wengi ndlo hili. Mtu anapomshaur mtu wengi wqnaona ni kama upinzani. Lakini mnasahau msemo unaosema "criticism makes it perfect".

Yan Diamond mnamuona kma mungu mtu. Kuwa yy hweZ kosea kila ki2 anachofanya ni sawa.


We umshauri Diamond wakati unapigwa na vumbi na bando lako la kunyapianyapia? Yaani ni sawa na mimi Baba Gaude nimpe ushauri Bakhresa humu JF. We sema umeandika stori tu sio ushauri.
 
We umshauri Diamond wakati unapigwa na vumbi na bando lako la kunyapianyapia? Yaani ni sawa na mimi Baba Gaude nimpe ushauri Bakhresa humu JF. We sema umeandika stori tu sio ushauri.
Wewe ni mpumbavu wa kutupa. Kwahyo wanaompa ushauri bakhresa ni wakina billigates eeh?
 
Naomba Nikushauri kwa kutumia mfano wa wasanii Wakubwa maana ndyo Role model wako.

Mwaka 2008 had 2012, Lil Wayne alikuwa miongini mwa wasanii wanaotamba katika mziki wa dunia. Mwaka 2008 alipata Grammy, mtv , BET za kutosha kutokana na albam yake the carter 3 ambayo iliuza zaidi ya kopi milliin ndani ya wiki ya kwanza.

Baada ya apo aliendelea kutoa hit songs ambazo zilitamba billboards, Had 2012.

Lil Wayne aliendelea kutoa albums na mixtapes ambazo zilipata negative responses kutoka kwa mashabiki wake. Hii ni kwa sababu ya Explicit contents zilizokuwa kwenye Audio na Video ya miziki yake. Tv na Radio mbali mbali zilishindwa kucheza miziki yake sababu ya izo Explicit contents.

Amekuwa akitoa album na miziki mingi lakini imekuwa taged under explicit contents.
Explicty contents sio images tu za matus. Hata maneno pia.


Drake naye ni msanii aliyeanza kuhit kuanzia miaka ya 2012. Mwanzoni sikuvutiwa na style ya drake ya kurap sababu ilikuwa amecopy ya Lil wayne. Mpaka hivi leo ukimsikiliza Drake akiimba unaweza sema ni Lil Wayne. Ila cha kushangaza huyu drake leo anahit kumzidi Lil wayne alyemkocopy style ya kuimba.
Hii ni kwa sababu nyimbo na video za drake haziwi taged under PAL ( Parental Advisory Label) sababu hakuna explicit contents kwahyo nyimbo na album za drake huweza pigwa katika radio na television zote duniani kuliko za lil wayne.

Sasa narudi kwa diamond mdogo wangu.
Kwa haka katabia unakotaka kuanzisha. Katakutoa kwenye game vibya sanaa. Utakuwa unatoa hit songs kila siku lakini Anashangaa awards wanapewa wengine.

Angalia usijekuwa kama Lil Wayne. 2012 anatoa nyimbo na album nyingi lakini azihit ingawa ni hit songs.
Umeongea neno la muhimu..
Lkn kusema drake kakopy kurap kutoka kwa lil wyne uko chaka..labda drake unaemuongelea wewe sio drake tunaemjua sisi aliyeshinda billboards 13
 
Umeongea neno la muhimu..
Lkn kusema drake kakopy kurap kutoka kwa lil wyne uko chaka..labda drake unaemuongelea wewe sio drake tunaemjua sisi aliyeshinda billboards 13
I don't think if u have any idea of "Hashtag flow"
 
well say brother... Mwenye masikio haambiwi sikia..
 
Tatizo la watanzania wengi ndlo hili. Mtu anapomshaur mtu wengi wqnaona ni kama upinzani. Lakini mnasahau msemo unaosema "criticism makes it perfect".

Yan Diamond mnamuona kma mungu mtu. Kuwa yy hweZ kosea kila ki2 anachofanya ni sawa.
Tatizo la wabmgo kuna kundi la viongozi na nyumbu, kila mtu na nyumbu wake na siku zote hawa nyumbu wanaona mtu wao ni mungu watu hawakosei hata kidogo
 
Wewe ni mpumbavu wa kutupa. Kwahyo wanaompa ushauri bakhresa ni wakina billigates eeh?


Wewe ndio mpumbavu wa kiwango. Sasa unafikiri we utampa ushauri gani Bakhresa wakati we mwenyewe hujakula tangu juzi .
 
Back
Top Bottom