jmushi1 wewe hujamshitukia mleta mada,amini usiamini lengo lake sio kusema lipstick,huyu anapenda sana kukosoa binadamu wenzake,hapa mi nakwambia alikua anataka watu waanze ooh chai jaba sijui domo kubwa,mim najua sijakamilika lkn yeye kwa vile amekamilika na ana guarentee kuwa atazeeka hadi kufa bila kupata ajali yakumpa ulemavu wa aina yeyote basi namuomba aweke picha yake hapa tumpe hongera zake.Ila kama yeye ni handsome basi Mungu huyo huyo aliyemfanya yeye handsome ndiye aliyemfanya mtoto wa watu kuwa na mdomo ambao wao kumdhihaki.Hata hivyo mim sion kasoro ya huyu kijana wa watu.
kweli wee mjanja wa mujini kumbe unaijua ndovu special malt,big up.
vinyakunyaku.com
tunajua lengo langu ulitaka watu waseme mdomo wake ni mkubwa ili ufurahi,weka picha basi tuone wa kwako ulivyo mdogo kama alama.Ukute nyie ndo full hadi kope za bandia,wanja na mikorogo juu.
umeonaeee,bora na wewe umemshitukia kuwa hapa alikua haoji lipstick alikua tu anataka watu waseme eti diamond ana mdomo mkubwa.Aweke picha yake tumuone yeye alivyo handsome usikute sura ka anachomwa sindano.