Sijaongelea amrudie kimapenzi mkuu ,rudia kusoma utanielewahawa amevuta madawa ya kulevya,,amekunywa gongo jieke kwenye nafasi ya daimond unaeza kutoka na msichana mwenye hio historia???
all in all namuombea kwa mungu apone arudi mtaan awe funzo kwa wasichana wenzake na hata wanaume
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanataka Mondi amrudie halafu waanze kusema kaishiwa anachukua dem wa walevi wa mtogoleKabla ya ntarejea diamond alishakua maarufu na siyo huyo hawa ndo kampa diamond umaarufu
Hv mtoa post ushawahi kumuacha mpenzi wako?kama jibu ndio mbona kwa diamond inakua ni ishu kuubwaa kumuacha huyo hawa kana kwamba dai ndo mtu wa kwanza kuacha
Hahahaha mkuu umeona mbali watasema kutoka kua na wanywa wine hadi kua na wanywa gongoWanataka Mondi amrudie halafu waanze kusema kaishiwa anachukua dem wa walevi wa mtogole
Sent using Jamii Forums mobile app
usilazimishe mawazo yako yachukue nafasi,hujui nini kilichotokea halafu unataka Diamond amuokoe mtu.inajua je kama Diamond kapoteza pesa nyingi kwa sikio la kufa?ya nini kuhangaika na mtu aliechagua mwenyewe aina ya maisha yakeNI MAWAZO YANGU JAMANI
Mwenye kuongezea na aongeze....