Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,188
- 3,370
nyimbo ya kikundi ile umewasahauAli kiba alishafanyaga video na R.kelly
πΆπΆ
Hiv umemuelewa vizuri mtoa mada?Achaa uzwazwa wew juma lokole katazame dm chick ya harmonize imechambuliwa na kwangwaru ..wadanganye ma zero brain wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Achaa uzwazwa wew juma lokole katazame dm chick ya harmonize imechambuliwa na kwangwaru ..wadanganye ma zero brain wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
ππππππChambua ni hii suti ya sikukuuView attachment 1302215
Hao wote uliyowataja wapo level moja na diamond?mbona zipo nyingi tu Ali k8ba, Navy kenzo , Ay ...sema unamahaba na naseeb
Achaa uzwazwa wew juma lokole katazame dm chick ya harmonize imechambuliwa na kwangwaru ..wadanganye ma zero brain wenzio
Sent using Jamii Forums mobile app
Unamzungumzia Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Burudani...Huko youtube wasanii wa marekani kama kina chris brown wakitoaga video, masahabiki huandaa video za uchambuzi aidha kukosoa au pongezi kama kile kipindi salama jabir wa eatv alivyo kua akifanya.
Katika pita pita zangu nimekutana na video nyingi sana za uchambuaji wa nyimbo za diamond platnumz, wanaozichambua hizi video ni kuanzia wamarekani, waingera hadi wakorea.
Kwa wasanii wengine wanaomkaribia diamond kama kina harmonize naona ana idadi angalau inayoridhisha, kwa upande wa ali kiba zipo chache ila tatizo views ni chache sana
Heko kwa diamond platnumz, Akishinda yeye taifa zima limeshinda.
View attachment 1301452View attachment 1301456View attachment 1301458