Sele Mkonje
JF-Expert Member
- Oct 2, 2011
- 643
- 845
- Thread starter
-
- #61
inamaana Tz sio salama kabisa sikuhizi.?Mtoto wako yuko salama?duh ivi kila siku vitoto vinabakwa na kunajisiwa uswazi huku bado unasema mtoto wako yuko salama,hii nchi hata chizi anaweza kuiongoza maana imejaa mazwazwa tupu.
Afrika ndo Tandale na Tandale ndo Afrika [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Star namba moja Africa unaijua Africa?? Unazani ni tandale?
Vipi kuhusu yule mpya nae utamuwekea walinzi.?Nimekusikia dogo nitamuwekea walinzi wanne
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kilimanjaro mbali fanya kutoka Moshi kwenda Moshi mjini [emoji23] [emoji23] [emoji23]Haya haya ndio mnayaweza ila mkiulizwa umbali kutoka moshi kwenda Kilimanjaro chaka
Bila shakaVipi kuhusu yule mpya nae utamuwekea walinzi.?
Dah. we jamaa ni noma[emoji23] [emoji23] [emoji23] Kilimanjaro mbali fanya kutoka Moshi kwenda Moshi mjini [emoji23] [emoji23] [emoji23]