Peace...peace[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Azarel tuliza mori bhana,hata mimi huwa nakuheshimu na najua tunaheshimiana ila sio kwamba tusikosoane.
Tunakosoana na mwisho wa siku maisha yanaendelea.
Hata hivyo naona umeshapanic na sikujua kwamba unafiki huwa unapitishwa na kurugenzi.
Kuongelea masuala ya Kiba na Diamond kumbe ni hadi wahusika wenyewe ndio wayaongelee?
Kwa maana hiyo wewe ni mmoja kati yao?
Duh!
Relax...
Cheers [emoji485]
Amani mkuu, pamoja sana Azarel [emoji122] [emoji120]Peace...peace
I'm not belong to any group...Diamond namkubali na Ali Kiba namkubali pia sanaa
I thought umejibu based kwenye hizi team issues.
Amani Nifah [emoji120]
HahahahahahhahahahahahahahahaFlani alivyo na gundu, kisirani na kisasi amekubalije?
Sikujua kama flani angekubali.
Hlf hapo jamaa amemfunika flani kwa sauti taamu
Mwambie aache gubu huyo mtotoAcha unaa mwanaume [emoji108]
Nimeangalia video nzima nilikuwa sijawahi iona, in short hao jamaa wote ni wakali hata ukifatilia hizo verse zao zinaonesha kabisa kwamba ni special talents, wamewafunika wengine. Alikiba kaimba sauti ya kwanza Diamond sauti ya pili, though sijajua kwanini Alikiba alikuwa hashiriki vizuri kwenye hizo nyimbo za Kigoma All Stars maana hapo hajatokea kwenye video, ile Leka Dutigite hakutokea hata kwenye verseHii ngoma ipo youtube kitambo..!
Alikuwa anamuogopa domoNimeangalia video nzima nilikuwa sijawahi iona, in short hao jamaa wote ni wakali hata ukifatilia hizo verse zao zinaonesha kabisa kwamba ni special talents, wamewafunika wengine. Alikiba kaimba sauti ya kwanza Diamond sauti ya pili, though sijajua kwanini Alikiba alikuwa hashiriki vizuri kwenye hizo nyimbo za Kigoma All Stars maana hapo hajatokea kwenye video, ile Leka Dutigite hakutokea hata kwenye verse
Hahahaha Nifah naona una element za uJecha Jecha yani kabla hujasikiliza tayari una matokeoNimedownload attachment ngoja niicheki,hata hivyo sina shaka Ali kafunika kama kawaida.
Diamond kumfunika Ali kwenye kuimba ni ndoto ya mchana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hiyo ni fact mkuu,sio lazima usikilize kwanza.Hahahaha Nifah naona una element za uJecha Jecha yani kabla hujasikiliza tayari una matokeo