Diamond Na Ally Kiba kwenye Twitter

Diamond Na Ally Kiba kwenye Twitter

ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:

Nanukuu:

"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"

HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:

Nanukuu:

"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."
Hii habari mbona kama yakutunga na mtoa mada sababu inaonesha hayo majibizano ni mawazo ya mtu mmoja huu ni mtazamo wangu tuu.
 
Ndio maaana Mimi napenda wewe Ali Kiba Kijana una Busara wala hukurupuki

Achana na huyo Dimondo...Kina mengi wenyewe wanakopa kwenye mabenji sembuse wewe
 
ALICHO POST DIAMOND KATIKA UKURASA WAKE WA TWITTER:

Nanukuu:

"Duh...! Nimesikia jamaa eti amejenga nyumba kafikia kwenye RINTA kashindwa kuimalizia kuficha aibu yake ameamua kujiunga
na ile taasisi inayotoaga mikopo isiyokua na RIBA inayoendeshwa na RIDHIWANI KIKWETE. Hii inaonesha muziki umekukataa dili zimebuma
shows zimekata mapesa yamekimbia. Duh Pole sana SINGLE BOY ALI KIBARAZA"

HAYO NDIO MANENO ALIYOANDIKA MSANII DIAMOND KATIKA TWEETER. ALIKIBA AKAMJIBU KAMA IFUATAVYO:

Nanukuu:

"Yote Maisha ndugu yangu, kuna matajiri duniani wanapesa nyingi lakini wanapanga foleni kwenye mabank kuomba
mikopo sembuse mimi Ali Kiba?! Kweli sikatai nimejiunga na SOCIAL CREDIT COMPANY na nimekopeshwa kwa faida yangu mimi na maisha yangu wewe kinachokuuma nikitu gani mpakaunakosa chakupost unazungumzia maisha yangu? Huwa sipendi Scandle kwa sababu wewe nakujua unapenda Scandle na kujibizana mitandaoni hizo ni tabia zakike. Kumbuka haya maisha kuna leo nakesho, maisha ni mzunguko wa sifuri wote tunazungukia sehemu moja. Kama kimekuuma mimi kujiunga na kupewa mkopo au umeona nafaidi sana nawewe jiunge ingia katika hii tovuti http://socialcredit.wapka.mobi ujiunge, mikopo haijaandikwa apewe masikini, tajiri au mtu maarufu wote sawa duniani na mikopo ndio kimbilio letu masikini kama wewe mwenzetu unajiona tajiri sawa ila sipendi kua unanizungumzia. Peace & Love."
mbona ina-sound kama tangazo la mikopo...nimeipenda hii strategy
 
Watanzania alietuloga alikua mjamzito, akatoa mimba na bahati nzuri au mbaya nayeye akafariki... Hamuoni kama ilo ni tangazo kweli? Promo ya hiyo website kabisaa inaonekana LIVE.
 
Hao n hackers,wana hack account za wasanii wakubwa kisha wanaandika hayo maneno ili kuipa promo hyo kampuni ya ukopeshaji..

Mkuu ku-hack Twitter na Facebook is impossible.

Labda ujue password yake tu.
 
Ni upuuuuuzi na usheeeenzi wa ************* hapo mnataka kuipa promo hiyo taasisi yenu kwa kutumia vijina vya hawa vijana , nyabafu sana
 
Kwanza hiyo socialcredit yenyewe haieleweki kama ni halali au ya kitapeli, maana kuna jamaa yangu alishoboka nayo but kila akipiga simu walizoweka either aipatikani au aipokelewi. yeye alitaka afike ofisini kwao kabisa maana wanadai wapo maeneo ya mnazi mmoja
 
Ali kiba usijali mkuu mana hata bakhesa anamikopo yakuosha tu

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
hawa wote tu wamewasiliana kuongea hili ili wapate kiki tu...

hakuna jipya.. tunawajua vizuri!

ali k kapotea sana kwenye soko la muziki.. kwa sasa ndio anajipanga kurudi...

unadhani atarudi vipi kama asipokuja indirectly kupitia wengine?

hii ni movie kama movie nyingine tu...
 
Hiyoo ni Link ya Matapeli wanaipigia Promo, nina mashaka na mtoa Uzi
 
jamani wewe maisha ya mtu yakuwashia nini
kama ameamua kukopa si yeye wala haikudhuru
dogo angesoma angeelimika maana naona hana
somo kichwani mwake
 
we jamaa uliyepost ni ------ kumanina zako.. mi nshajua unaupigia promo huo mtandao wa kitapeli.
kwa taarifa yako we maku mwisho wa herufi za kuandika ktk twiter ni 140.
sasa uyu Alikiba kapata wap uwezo wa kutweet maneno yote hayo.
acha usenge na kuwadanganya watu -------- wee uctengeneze story. na wajanja tushashtuka hatutaki kuingia huo mtandao wala nin na hatutak huo mkopo.
mikundu yako!
 
Asee km iyo habar itakuwa ni kweli basi domo atakuwa ni zuzu wa mazuzu
 
Back
Top Bottom