BansenBurner
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,810
- 5,773
Snapchat haiongopi kivipi?kalichukua kwa sababu kalisnap snapchat..
na snapcht haiongopi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Snapchat haiongopi kivipi?kalichukua kwa sababu kalisnap snapchat..
na snapcht haiongopi
huwa inatoa tukio la hapo kwa hapo..Snapchat haiongopi kivipi?
Yah ndio lkn mtu unaweza danganya vile vile..labda alienda show room akachukua video au anashoot video yake mpya hyo gari ikawepo si anaweza chukua video akapost tu Snapchat.huwa inatoa tukio la hapo kwa hapo..
na kama ni la muda linakua tofauti kama picha
Tena wivu wa kujiua kabisa.Mimi wa mkoani, ila hiki ulichokiandika hakihusiani na wanaume wa Dar ila kina sound kama wivu mtokoto vile.....
Ni kweli mkuu siyo wote ni hali ngumu! kuna jamaa Bandarini alikuja kulipia ushuru wa gari lake Mil 85! wiki hata haijaisha! Kuna watu wenye hela asiwe msemaji wa mifuko ya watu"KWA USAWA HUU" sio hali ya watu wote,jisemee kwa nafsi yako.
Sisi hapa kitaani kuna jamaa kanunua nyumba 6 kwa sh 1.4b kisha zote akazivunja kwa lengo la kutanua eneo lake tu.Ni kweli mkuu siyo wote ni hali ngumu! kuna jamaa Bandarini alikuja kulipia ushuru wa gari lake Mil 85! wiki hata haijaisha! Kuna watu wenye hela asiwe msemaji wa mifuko ya watu
Hata ghost used zipo.Hii ni RR Phantom Diamond alioionesha ni RR Ghost
Kuna watu wameuza nyumba few months ago $6m DSM hii ya Makonda.Sisi hapa kitaani kuna jamaa kanunua nyumba 6 kwa sh 1.4b kisha zote akazivunja kwa lengo la kutanua eneo lake tu.
Yes, sema MIMI sina hela,sio SISI hatuna hela.Kuna watu wameuza nyumba few months ago $6m DSM hii ya Makonda.
Kuna mwarabu kauza eneo lake mil 900 alikuwa anataka kumuuzia mzee Azam mzee kamwambia alisha jenga kiwanja cha mpira sa hivi akihitaji tena, kuna mdingi flani kashakichukua mwarabu kasha sepa!Kuna watu wameuza nyumba few months ago $6m DSM hii ya Makonda.
Nani huyo? D mosha?Hata ghost used zipo.
![]()
Hio GBP 115,000 ya 2010. BTW kuna mtu anayo hapa DSM ina private plate GHOST.
Usawa wa Magufuli ni usawa wa kulinunua Rolls Royce mara mbili."KWA USAWA HUU" sio hali ya watu wote,jisemee kwa nafsi yako.
Hapo huko sahihi, $ 300,000 au $ 400,000 x tsh 2,200 = ...... + pesa ya magufuli (kodi) + kulisafirisha + namba binafsi = ??? (majanga )Usawa wa Magufuli ni usawa wa kulinunua Rolls Royce mara mbili.
Kuna mashaka kama Diamond anaweza kulinunua mara moja tu kama ana akili nzuri.
Kulinunua mara mbili inabidi si tu awe na uwezo, bali pia awe kichaa mara mbili.
Diamond hana kichaa hicho, ndiyo maana kafika alipo.
Angekuwa na kichaa hicho hata alipo asingefika, angeshakuwa teja siku nyingi tu.
Taratibu, vitu vyote viko mtandaoni.Hapo huko sahihi, $ 300,000 au $ 400,000 x tsh 2,200 = ...... + pesa ya magufuli (kodi) + kulisafirisha + namba binafsi = ??? (majanga )
Sijajua ni aina gani,lakini ktk mtandao nilioingia mimi sijaona ya chini ya $ 300,000/- Rolls-Royce Car Reviews - Rolls-Royce Pricing, Photos and Specs - CARandDRIVERTaratibu, vitu vyote viko mtandaoni.
Hilo Rolls Royce gani kwanza?
Expenses....Kama unazo asset za kutoshakutengeneza hiyo helaaa...Ni Liability au Asset?
hata mimi hilo nimeona linaukakasi. kuna gari zinachagua nyumba na sehemu za kupark. ukienda tofauti unaonekana kituko.Aiseee Kununua RR wakati unaishi Madale kwenye kiwanja cha hatua 20 kwa 20 kweli?? Siwezi kumpangia matumizi coz sikuwepo wakati anazisaka.