Diamond na Gari lake Jipya

Diamond na Gari lake Jipya

1472787807196.jpg
Itakuwa hii.....
 
Hakuna star yeyote ananua gari la 300000 dollar cash wengi wao wana lease then after 2 years anarudisha anapewa model mpya. Gharama za insuarance , service kwa mwaka huwezi kumudu na bado gari lipo Tanzania?? Inabidi kila mwaka ulisafirishe south Africa au UK kwa service.
 
Usidanganyike, unaweza pata RR used in good condition na ikipigwa polish utadhani mpya, kwa bei chee ya US $ 15,000/=, hawa wasanii ni waongo na wanashauriwa kutumia uongo na sifa kujijenga kwa washabiki na kuongrza mauzo ya nyimbo na show zao. Hebu watueleze ni RR model gani na ya mwaka gani.

Hebu ingia kwenye link hii hapo chini uonr soko la used ROLLS ROYCE huko Dubai. Na bado hujaenda Uingereza, Japan na Kong Kong.
 
Yeye mwenyewe hajasema kama kanunua au alikuwa location.
Watu ndiyo wanabishana na kumsemea mambo ambayo hajasema.
Mwisho wa siku wanasema jamaa muongo wakati hajasema chochote kuhusu jambo hili.
 
Hilo gari lina nini mpaka linauzwa pesa nyingi hivyo?
 
Hiyo gari imeshafika tayari maana ni miaka 2 sasa.
 
VideoFUPI: Je Diamond katimiza ahadi yake

Moja kati ya stori zilizoingia kwenye headlines siku ya February 1 2016 ni hii ya msanii wa Bongofleva na CEO wa record label ya Wasafi Classic Baby (WCB) Diamond Platnumzkuweka wazi kuwa kabla ya mwaka 2016 kumalizika atanunua gari aina ya Rolls Royce.

Kupitia account yake ya instagram usiku wa August 30 Diamond Platnumz alipost clip video ya Rolls Royce yenye kivuli cha sura yake, inawezekana Diamond akawa ametimiza ahadi yake ya kumiliki gari hilo kabla ya mwaka 2016 kumalizika, kama Diamond atakuwa kanunua gari hilo atakuwa ni mtanzania wa pili anayefahamika kumiliki Rolls Royce baada ya makamu mwenyekiti wa zamani wa YangaDavies Mosha.

Baadhi ya mastaa Afrika wanaomiliki gari aina ya Rolls Royce ni Koffi Olomide na staa wa soka wa zamani wa Arsenal Emmanuel Adebayor ambaye kwa sasa anaichezeaCrystal Palace, bado haijajulikana Rolls Roycealiyopost Diamond ni toleo la mwaka gani ila stori kutoka autoguide.com inaeleza kuwaRolls Royce inauzwa zaidi ya dola laki 3 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 600 pia inategemeana na toleo

Lako Wewe pia liko wapi?
 
Back
Top Bottom