Mzizi wa Mbuyu
JF-Expert Member
- May 15, 2009
- 7,375
- 6,958
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amefanya vizuri
acha kumjaza ujinga hii ni anasa isiyo na faidaAmefanya vizuri
View attachment 391259Hii kitu Diamond ataendelea kuitamani ila kuinunua asahau. Juzi juzi nimeona jamaa mmoja mnyarwanda anayo SA niliigusa tu nikaishia zangu.
Uwezo huo hana ila wacha aendelee kujipa moyo.Usiseme sana asije akatuziba midomo. maana mimi mwenyewe nimeona kaweka huko IG ikabidi niwe mpole
***** walahi....wewe ni Mwanaume wa Dar asilimia miaNaskia Zari kamnunulia kumshukuru kwa mimba ingine
Branding [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]Liability out of question. But for him could be asset since he can use it for branding and such may be
Na we mwanawake wa rujewa asilimia mia unasumbua sana naskia kumechafuka huko***** walahi....wewe ni Mwanaume wa Dar asilimia mia
Khaaaa .......aisee Dar imechafuka
Mimi ndio nimempokea Baba yako kumkata mama yako nakuwaje tena Mwanamke?Na we mwanawake wa rujewa asilimia mia unasumbua sana naskia kumechafuka huko
Well...possibly coz he filthy richBranding [emoji14] [emoji14] [emoji14] [emoji14]
Lina kila kitu Choo,Kitanda,office pamoja na Pub ya kishkaji !!Hilo gari lina nini mpaka linauzwa pesa nyingi hivyo?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]taratibu mkuu taratibuHiyo gari imeshafika tayari maana ni miaka 2 sasa.
VideoFUPI: Je Diamond katimiza ahadi yake
Moja kati ya stori zilizoingia kwenye headlines siku ya February 1 2016 ni hii ya msanii wa Bongofleva na CEO wa record label ya Wasafi Classic Baby (WCB) Diamond Platnumzkuweka wazi kuwa kabla ya mwaka 2016 kumalizika atanunua gari aina ya Rolls Royce.
Kupitia account yake ya instagram usiku wa August 30 Diamond Platnumz alipost clip video ya Rolls Royce yenye kivuli cha sura yake, inawezekana Diamond akawa ametimiza ahadi yake ya kumiliki gari hilo kabla ya mwaka 2016 kumalizika, kama Diamond atakuwa kanunua gari hilo atakuwa ni mtanzania wa pili anayefahamika kumiliki Rolls Royce baada ya makamu mwenyekiti wa zamani wa YangaDavies Mosha.
Baadhi ya mastaa Afrika wanaomiliki gari aina ya Rolls Royce ni Koffi Olomide na staa wa soka wa zamani wa Arsenal Emmanuel Adebayor ambaye kwa sasa anaichezeaCrystal Palace, bado haijajulikana Rolls Roycealiyopost Diamond ni toleo la mwaka gani ila stori kutoka autoguide.com inaeleza kuwaRolls Royce inauzwa zaidi ya dola laki 3 ambazo ni zaidi ya Tsh milioni 600 pia inategemeana na toleo