Duh umesisitiza eheeBy the way Big Up kwa Ally Kiba wakati wenzake wanapiga show kubwa yeye alikua anaadhimisha kumbukumbu ya kuzaliwa ya mama yake mzazi.
pengine, lakini hayajaanza leov maneno km hayo.....mpaka leo yupo na tunamzungumzia hapa saa hizi!Tunamzika kibamia kimuziki sio muda
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Inama nipachike rungu
Tunamzungumzia kwa sababu bado anahesabika kama rival wa simba ila kiuhalisia WCB na CMG wameamua kumzika yani baba kaamua kushindana na mwanaye ili kumzika jiranipengine, lakini hayajaanza leov maneno km hayo.....mpaka leo yupo na tunamzungumzia hapa saa hizi!
juzi kati kafanya show, isiyo na udhamini...yenye kiingilio juu na siyo nyumbani na bila makelele meeengi kutoka kwa wasindikizaji humu jukwaani na kwingineko (infact, jukwaa hili lilikuwa 'bize' kudororesha ziara yake kwa kila namna), lakini mapokezi aliyopata kivyake kama vile, naamini bado jamaa yupo sana.....labda aamue mwenyewe kutoka kwenye gemu! si lazima ufanane na fulani maana kila mtu na maajaliwa yake na watu wake, kubwa la kuangalia ni je, malengo ya kisanii (mapato ya kuendesha maisha) yanapatikana? EATV&RADIO wapo, STAR TV wapo na kubwa zaidi MUNGU yupo; CMG na WCB ni nani?!!!! 'Injinia' Aggrey Mwanri mwenyewe amemkaribisha kwa bashasha zote.Tunamzungumzia kwa sababu bado anahesabika kama rival wa simba ila kiuhalisia WCB na CMG wameamua kumzika yani baba kaamua kushindana na mwanaye ili kumzika jirani
Ukibebwa bebeka!juzi kati kafanya show, isiyo na udhamini...yenye kiingilio juu na siyo nyumbani na bila makelele meeengi kutoka kwa wasindikizaji humu jukwaani na kwingineko (infact, jukwaa hili lilikuwa 'bize' kudororesha ziara yake kwa kila namna), lakini mapokezi aliyopata kivyake kama vile, naamini bado jamaa yupo sana.....labda aamue mwenyewe kutoka kwenye gemu! si lazima ufanane na fulani maana kila mtu na maajaliwa yake na watu wake, kubwa la kuangalia ni je, malengo ya kisanii (mapato ya kuendesha maisha) yanapatikana? EATV&RADIO wapo, STAR TV wapo na kubwa zaidi MUNGU yupo; CMG na WCB ni nani?!!!! 'Injinia' Aggrey Mwanri mwenyewe amemkaribisha kwa bashasha zote.