Diamond na Tunda mahaba niue



hahahhahahah ! aisee ! nakusalimu !
 
Wanaona amepata kila kitu. Watoto, mali, uzuri na mengineyo. Watu wengine viroho vya kwanini yule kapata badala ya yule kapataje na mimi nmfikie
Hata wakishindwana hakuna wa kumlinganisha na Zari wote cheap slut tuuu Sasa katunda kandangaji, hamisa na wengineo bora wema angalau Enzi zake japo ,,,,
 
Atakugonga na wewe hatimaye,je utampa?
 
Hahahahaa mie nimeona biashara ya kula likes inalipa zaidi kuliko kuanza ligi hapa halafu mwisho wa siku mods wanaufuta uzi.

Zari ni zari tu yaan wanajipanga watu mia kila siku wanamuibulia mpinzan mwingine ika bado hafikii viwango vya zari.

Wacha tu dai atuongezee single moms in town.
hahha hii battle mie siiwez !ngoja nimuite Numbisa !inaumiza mno jaman !hilo tusi ni la kufedhehesha sana !
 
Haaa haa nimekuelewa[emoji122] [emoji122]
 
Mondi anawafaidi sana, hakuna staa aliyemuwacha, safi sana kula kaka
 
Mademu wenyewe wote wabaya wabaya, na hawana hata kibarua maalum. In short wote ni madada poa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…