Wanaona amepata kila kitu. Watoto, mali, uzuri na mengineyo. Watu wengine viroho vya kwanini yule kapata badala ya yule kapataje na mimi nmfikienachoka mie jaman !sijui why watu wanamchukia zari !mwee ! hv zari utamsimamisha na nan jaman !hhaha
Wanaona amepata kila kitu. Watoto, mali, uzuri na mengineyo. Watu wengine viroho vya kwanini yule kapata badala ya yule kapataje na mimi nmfikie
Ukijaribu kufuatilia comments hizi utajua jinsi gani tulivyo na akili fupi hasa wanawake, huyo Mondi na zari wanakaa wanaona watoke vp na wanakuja na ujinga basi watu wanashoboka kuponda mwanamke mwenzao anavyodhalilika, kumbe wenzao wanataka kubaki midomoni mwa watu either kwa mazuri au mabaya. Sometimes nawaza vile madem wa humu wanaomponda Zari walivyo na sura ngumu maana mwanamke akimchukia mwanamke mwenzie ujue kampita uzuri.
Hapo ndo utashangaa mwanamke anakaza misuli ya shingo kumnanga mwenzie ananuka maziwa like really??? Mtu anaongea Kama Tasa viledah leo naamini adui wa mwanamke !hujisikii aibu kusema shombo la maziwa? duh ! i thnk uko under 24 mamy !
Na hata ukimfuga hageuki njiwa[emoji2] [emoji2] [emoji2] team Zari watatukanaaa mwisho watashusha silaha chini !!!maana kunguru hafugiki
Hata wakishindwana hakuna wa kumlinganisha na Zari wote cheap slut tuuu Sasa katunda kandangaji, hamisa na wengineo bora wema angalau Enzi zake japo ,,,,Wanaona amepata kila kitu. Watoto, mali, uzuri na mengineyo. Watu wengine viroho vya kwanini yule kapata badala ya yule kapataje na mimi nmfikie
Atakugonga na wewe hatimaye,je utampa?Heloo!
Yule mrembo anaitikisa kwenye baadhi ya video na show off za instagram Tunda yasemekana yupo kwenye mahaba mazito na nguli wa bongo fleva baba Dylan aka baba Tiffah dangote.
Wawili hao yasemekana wanakwichikwichi mpaka kufikia hatua kuyafanya mambo hadharani kule Madale a.k.a state house.
Na leo hii Tunda yaonyesha anaelekea Rwanda ambapo Mondi nae anafanya show huko huko.
Diamond kula ujana baba ili ulizeeka upate vya kusimulia!
Na wagonge wote tu wakijileta!
Bado sana wewe!
ebu ziweke tuzioneHiyo pic ya tunda ni ya zamanii
hahha hii battle mie siiwez !ngoja nimuite Numbisa !inaumiza mno jaman !hilo tusi ni la kufedhehesha sana !
teh teh... mimi sijambo kabisa mkuuhahahhahahah ! aisee ! nakusalimu !
Haaa haa nimekuelewa[emoji122] [emoji122]Tatizo yule mtoto Diamond hana heshima anamdhalilisha mama wa watu. Na mama mwenyewe anavyopenda umaarufu anang'ang'ania hapo hapo utasema kaambiwa ndo nyota yake ya kutajirikia. Yule mmama alivyo mzuri ukiambiwa anachezeshwa segere na mtoto kama Diamond unaweza ukalia kwa hasira