ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Muulize mkeo..!Ndio nani huyo mkuu na anaumaarufu gan?
Huyu msanii ana kipaji cha kuimba na kipaji cha uigizagi. Kinldy refer wimbo wa Mbagalaaa. Aingie uingizaji kwa kuwa pia amekwisha kuwa maarufu atapata pesa saana.Diamond amekuwa anafanya matangazo mbalimbali kwa njia ya kuimba!! Japo watu wanasema Hajui kuimba ila kuna matangazo mimi huwa nayapenda sana kwa jinsi alivyo imbaa.
Haya ndio matangazo bora kwangu
1.Tangazo la voda 4G-Alivyo imba pale nimepapenda kwa kweli
2.Tangazo la Coca cola-Onja msisimuko alivyo imba pia nimepapenda sanaa!
3.Tangazo la Vodacom la Ongea Deilee-Alivyo imba pia nimevutiwa sanaaa!
4.Tangazo la Tomato chill-Lile anaimba tupate pesaaa pesaaa tupate pesaaa pesaa aaah hapo mm napenda sanaa
5.Kuna kipindi sijui cha radio gani ile ni kipindi cha taarabu-Ila kuna Taarabu moja hivi kaimba mle aaaah nimeipenda sanaaa
Mimi ni hayo...wewe Je?
Hapo sawsawaMimi la Cocacola(Taste the feeling) nalielewa sana..!
Usipate shaka, huyu hapa chini:Kuna mtu humu alisema voda wamevunja nae mkataba, sijui nani? Tukumbushane na thread ya kumponda DAI aliifungua.
Huyu hapa chini na wenzake wakawa wanafanya shangwe:Kuna uzi humu lara 1 anaelezea jinsi makampuni yalivyopotoka kumtumia Diamond kwa matangazo yake kama humaniser.
Uzi wenyewe ni huu: Pale makampuni ya Bongo yanapokurupuka kumuendorse Diamond, well-known women abuser! Shame on u Vodacom
Leo bango la pale Ubungo kona ya kwenda chuo kikuu UDSM wametoa picha ya Diamond na kumuweka dada fulani, pia eneo la Sayansi wametoa picha zake.
Hizo ni sehemu mbili nilizoona kwa leo, nadhani ndani ya wiki huyu jamaa hatakuwa hana bango hata moja.
Sasa sijui ni coincidence au dua la kuku limempata mwewe!
Kabla watu hawajamaliza kufanya shangwe, yanakuja haya:Lara1 upo wapi nikushike mkono? Diamond sio mtu wakumpa heshima alikuwa anapata while hana nidham ya maisha hasa uwo unyanyasaji wa wanawake akifikiri wamekuwa chupi anabadilisha nakutupa au kuchoma moto na hakuna wakumuuliza. Haki imetendeka na nina iman ni darasa tosha kwa kila msanii.
Eti wenyewe wanaamini,ili msanii wao awe juu ni lazima wamshushe DIAMOND.Usipate shaka, huyu hapa chini:
Huyu hapa chini na wenzake wakawa wanafanya shangwe:Kabla watu hawajamaliza kufanya shangwe, yanakuja haya:
View attachment 387452
Mashabiki wa Kiba hawana tofauti na mashabiki wangu wa Arsenal, kutwa wanajisifu kucheza mpira mzuri lkn trophy cabinet ipo tupu [emoji23]Mbona alikiba na bela hawapewi waimbe.?..naskia wana vocal na wanajua kuliko diamond ... what does it take ili watu wakupe endorsement km hiz...? Coz wote ni wasanii tena mmoja naskia anadai, "ali ni kipenzi cha watu". Sasa kwa nn wasimpe huyu ambaye ni kipenzi cha watu.... ? Ni kipi wanachozidiana mbali na kuimba.???
Tatizo nyota ndugu.Mbona alikiba na bela hawapewi waimbe.?..naskia wana vocal na wanajua kuliko diamond ... what does it take ili watu wakupe endorsement km hiz...? Coz wote ni wasanii tena mmoja naskia anadai, "ali ni kipenzi cha watu". Sasa kwa nn wasimpe huyu ambaye ni kipenzi cha watu.... ? Ni kipi wanachozidiana mbali na kuimba.???
Vipi ile kampeni ya kumzuia Diamond asipate matangazo imefanikiwa? Maanake naona vodacom wanazidi kumuongezea matangazo tu, hata hapa jf kuna katangazo nakaona...eti lara 1 ile kampeni yako imefikia wapi?Diamond amekuwa anafanya matangazo mbalimbali kwa njia ya kuimba!! Japo watu wanasema Hajui kuimba ila kuna matangazo mimi huwa nayapenda sana kwa jinsi alivyo imbaa.
Haya ndio matangazo bora kwangu
1.Tangazo la voda 4G-Alivyo imba pale nimepapenda kwa kweli
2.Tangazo la Coca cola-Onja msisimuko alivyo imba pia nimepapenda sanaa!
3.Tangazo la Vodacom la Ongea Deilee-Alivyo imba pia nimevutiwa sanaaa!
4.Tangazo la Tomato chill-Lile anaimba tupate pesaaa pesaaa tupate pesaaa pesaa aaah hapo mm napenda sanaa
5.Kuna kipindi sijui cha radio gani ile ni kipindi cha taarabu-Ila kuna Taarabu moja hivi kaimba mle aaaah nimeipenda sanaaa
Mimi ni hayo...wewe Je?
Kuna watu vigagulaz kuliko hata shetani mwenyewe wamesahau mpewa hapokonyeki hata uroge uchiVipi ile kampeni ya kumzuia Diamond asipate matangazo imefanikiwa? Maanake naona vodacom wanazidi kumuongezea matangazo tu, hata hapa jf kuna katangazo nakaona...eti lara 1 ile kampeni yako imefikia wapi?