GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Wawili hao wataperform Wembley Arena London 02/06/2018. Artists wengine ni Teckno, Wande Cole, KCEE, Kiss Daniel, Niniola, Seyi Shay, Skales, Kranium. Show iko sponsoured na Black Bet.
Tuwe proud kwa vijana wetu kupeperusha bendera.
We mwanamke kila mtu unamjua?Na kwa jinsi ninavyowajua walivyo ni lazima tu baada ya hiyo ' show ' wataenda ' Kubanduana ' sana hadi Kunakucha.
Huyu ng'ombe sijui ana matatizo ganiWe mwanamke kila mtu unamjua?
Show ya waafrica kama hawapo 'Class A' Wizkid or Davido nakuwa na walakini nayoWawili hao wataperform Wembley Arena London 02/06/2018. Artists wengine ni Teckno, Wande Cole, KCEE, Kiss Daniel, Niniola, Seyi Shay, Skales, Kranium. Show iko sponsoured na Black Bet.
Tuwe proud kwa vijana wetu kupeperusha bendera.
u wishNice,ila jamaa aweke maombi mbele hii misala inayomuandama inaweza mkatishia madili makubwa kama haya
Wawili hao wataperform Wembley Arena London 02/06/2018. Artists wengine ni Teckno, Wande Cole, KCEE, Kiss Daniel, Niniola, Seyi Shay, Skales, Kranium. Show iko sponsoured na Black Bet.
Tuwe proud kwa vijana wetu kupeperusha bendera.
Jamaa ana dalili za kustafu kuimbaBwana harusi hajapata chance?
Passport ya jamaa si imeshikiliwa na vijana wa Mambosasa ataendaje ukoWawili hao wataperform Wembley Arena London 02/06/2018. Artists wengine ni Teckno, Wande Cole, KCEE, Kiss Daniel, Niniola, Seyi Shay, Skales, Kranium. Show iko sponsoured na Black Bet.
Tuwe proud kwa vijana wetu kupeperusha bendera.
Ndiyo umeandikaje hapo bro??? kiroba kinakuhusuToo sad to see BASATA and Mwakinembe try to discourage bongo flavour.
ikiisha hii tamthilia atapewa maana na yeye ni sterling wa movieMond Hana passport
...sponsored... Sijui leo una haraka za nini....Show iko sponsoured...
Kila mtu anakwenda kivyake hawakai hoteli moja na pesa za makubaliano pia kila mtu amelipwa kwa kiwango chakeBaada ya shoo watapiga shoo nyingine,wakiwa na suti za kulalia,au sare waliokuja nazo wakati wa kuzaliwa,
hata kama ni mimi ndio mond huyo shori hatatoka salama.
Kila mtu ana namba ya simu ya mwenzie usisahau hiloKila mtu anakwenda kivyake hawakai hoteli moja na pesa za makubaliano pia kila mtu amelipwa kwa kiwango chake
Izo ndio zinampa michongo aliyepewa kapewa tu....Nice,ila jamaa aweke maombi mbele hii misala inayomuandama inaweza mkatishia madili makubwa kama haya
Izo ndio zinampa michongo aliyepewa kapewa tu....
VyoteUmeielewa koment au umekurupuka tu?
Vyote
Mod anaenda kuimba kingereza?Hajui ngeli Tatzo