Diamond na Wasafi Media mmeonesha "lack of professionalism" kwenye hili la Forbes

Diamond na Wasafi Media mmeonesha "lack of professionalism" kwenye hili la Forbes

crankshaft

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2019
Posts
1,427
Reaction score
3,438
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond kawakashifu Forbes kutokana na list zinazosambaa mitandaoni zikionesha wasanii tajiri Afrika.

Unawaponda forbes wakati hakuna mahali popote forbes wametoa list ya wasanii tajiri Afrika zaidi ya page zisizo rasmi!!!

Naona pia wasafi tv na radio wanali amplify hilo suala kwa social media zao. Hii inaonyesha kwamba diamond na hata wasafi media na wabongo wengi ni watupu kuhusu suala la fake news ndio maana kuna baadhi ya wadau hapa jf nao wameanzisha thread kwa kutumia hizo source.

Hii ni kama ile TBC kutangaza kwamba Trump alimsifu JPM.

Lazima utambue position yako,kuposti taarifa isiyo na uhakika katika page yenye wafuasi millioni 12 sio jambo dogo kwani unaweza kuwaharibia popularity hao Forbes.

Ni muhimu pia kwetu sisi wadau tuwe tunajihakikishia kwa kutumia source ambazo ni verified kuliko kuokota habari kila page.

1621425414535.png

 
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond kawakashifu Forbes kutokana na list zinazosambaa mitandaoni zikionesha wasanii tajiri Afrika.

Unawaponda forbes wakati hakuna mahali popote forbes wametoa list ya wasanii tajiri Afrika zaidi ya page zisizo rasmi!!!
Hata mimi, nimetafuta sana hiyo list lakini nimeshindwa kuiona! Hata hivyo, kuna dalili kwamba hiyo list ipo... sasa sijui Forbes Africa wamei-delete, au vipi!!

Ingawaje unadai ni pages zisizo rasmi lakini zipo reputable media kama The Citizen ambao wameandika "...One week after Forbes magazine released a list of Africa’s richest musicians’ list, Bongo Flava star Diamond Platnumz has dropped an advice to the American magazine."

Sio The Citizen peke yake bali hata BBC World Service na wenyewe wameandika:- "One of Africa's biggest pop stars has criticised Forbes magazine's recent list of the continent's wealthiest musicians that ranked him in 20th place."

Sasa ukisoma hizo nukuu za The Citizen na BBC utaona wazi kwamba Forbes walitoa hiyo list, sasa sijui wameificha wapi manake nimeisaka kweli kweli lakini nimeshindwa kuiona!!
 
Hizo list leo sio mara ya kwanza kuziona. Ndio maana hata ukiangalia bbc na the citizen wameandika taarifa zao kwa kum quote yeye tu na hawaja verify hizo list.
Yaani BBC wameandika "...Forbes magazine's recent list", hapo ndo unaona wamem-quote Diamond?!

The Citizen nao wameandika"......One week after Forbes magazine released a list" hiyo kwako ni nukuu kutoka kwa Diamond?
 
Mkuu adi clouds walitoa, hiyo listi kwenye page yao ya Instagram, labda Forbes waliamua kuondoa baada ya mashambulizi kuwa mengi
 
Dogo ajue kwamba Forbes don't document based on hearsay, video clips au picha za pesa

Mfumo wetu wa kutathmini utajiri unaweza kuwa Ni chanzo Cha kumnyima Domo recognition anayotaka

Pia atambue Forbes hawaangalii pesa zinazofichwa kwa ndugu au utajiri ulio na mawaa

Dogo ajifunze kwanza kabla hajaanza kujibizana na global institutions.... Kama anaweza aweke wazi utajiri wake ulivyo na tea wakatathmini Kama serikali inapata stahiki yake
 
Dogo ajue kwamba Forbes don't document based on hearsay, video clips au picha za pesa

Mfumo wetu wa kutathmini utajiri unaweza kuwa Ni chanzo Cha kumnyima Domo recognition anayotaka

Pia atambue Forbes hawaangalii pesa zinazofichwa kwa ndugu au utajiri ulio na mawaa

Dogo ajifunze kwanza kabla hajaanza kujibizana na global institutions.... Kama anaweza aweke wazi utajiri wake ulivyo na tea wakatathmini Kama serikali inapata stahiki yake
Na Kanye West na yeye alikuwa anaficha pesa kwa ndugu?! Au na yeye utajiri wake ulitokana na hearsay, video clips na picha za pesa ndo maana in late 2019 Kanye hakuwepo kwenye billionaires list lakini wakaja kumweka 6 months later!!!

Na ingawaje unasema " Forbes don't document based on hearsay, video clips au picha za pesa" hebu rejea tukio la Kylie Jenner!

Back 2019, Forbes hao hao ndio walitutangazia kwamba Kylie Jenner ndie youngest billionaire, baadae wakaja kugundua kumbe walipigwa changa la macho... she's not that billionaire as The Kardashians made them (Forbes) to believe!

Similar issue ilitokea kwa Donald Trump... huyu ikagundulika kwa miaka nenda rudi amekuwa akiwa-trick Forbes ili atokee kwenye billionaires list!

Hiyo maana yake nini?! In short, hata hao Forbes wanasukumwa sana na "on hearsay, video clips au picha za pesa" vinginevyo hayo yasingekuwa yanatokea!!!

Halafu mbona hao Forbes kutolewa povu ni jambo la kawaida sana?! Diamond sio wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho! Hata pale Forbes walipokuja kubadilika na kusema Kylie isn't a billionaire kama ambavyo waliaminishwa, Kylie akawatolea povu!
 
Yaani BBC wameandika "...Forbes magazine's recent list", hapo ndo unaona wamem-quote Diamond?!

The Citizen nao wameandika"......One week after Forbes magazine released a list" hiyo kwako ni nukuu kutoka kwa Diamond?
hata kama forbes wameifuta hiyo taarifa, kweli inawezekana isionekane popote???
Halafu hata ukicheki ile taarifa ya wanamichezo, bbc wameweka direct link kwenda ukurasa official wa forbes ila hii ya Diamond hawajaweka.

Hii ndio taarifa rasmi ambayo forbes waliitoa last week na iliripotiwa na bbc world news pamoja na bbc swahili na media nyingine nyingi ambazo ni official.
Screenshot_20210519-082349.png
Screenshot_20210519-121458.png

Lakini hii ya wasanii wa Afrika taarifa yake haipo kwenye media official na imeanza ku trend jana baada ya diamond kulalamika, haikuwa imeripotiwa bbc, mwananchi wala the citizen.

Labda tu nimpongeze Diamond kama kafanya hivyo kwa kulinda maslahi yake lakini hii ishu imeonesha dhahiri kwamba wabongo wengi na hata media ni watupu kuhusu suala la fake news.
 
Back
Top Bottom