Diamond na Wasafi Media mmeonesha "lack of professionalism" kwenye hili la Forbes

Diamond na Wasafi Media mmeonesha "lack of professionalism" kwenye hili la Forbes

Na Kanye West na yeye alikuwa anaficha pesa kwa ndugu?! Au na yeye utajiri wake ulitokana na hearsay, video clips na picha za pesa ndo maana in late 2019 Kanye hakuwepo kwenye billionaires list lakini wakaja kumweka 6 months later!!!

Na ingawaje unasema " Forbes don't document based on hearsay, video clips au picha za pesa" hebu rejea tukio la Kylie Jenner!

Back 2019, Forbes hao hao ndio walitutangazia kwamba Kylie Jenner ndie youngest billionaire, baadae wakaja kugundua kumbe walipigwa changa la macho... she's not that billionaire as The Kardashians made them (Forbes) to believe!

Similar issue ilitokea kwa Donald Trump... huyu ikagundulika kwa miaka nenda rudi amekuwa akiwa-trick Forbes ili atokee kwenye billionaires list!

Hiyo maana yake nini?! In short, hata hao Forbes wanasukumwa sana na "on hearsay, video clips au picha za pesa" vinginevyo hayo yasingekuwa yanatokea!!!

Halafu mbona hao Forbes kutolewa povu ni jambo la kawaida sana?! Diamond sio wa kwanza wala hatakuwa wa mwisho! Hata pale Forbes walipokuja kubadilika na kusema Kylie isn't a billionaire kama ambavyo waliaminishwa, Kylie akawatolea povu!
Kanye Ni mental case

He complains on everything
 
Kupitia ukurasa wake wa instagram diamond kawakashifu Forbes kutokana na list zinazosambaa mitandaoni zikionesha wasanii tajiri Afrika.

Unawaponda forbes wakati hakuna mahali popote forbes wametoa list ya wasanii tajiri Afrika zaidi ya page zisizo rasmi!!!

Naona pia wasafi tv na radio wanali amplify hilo suala kwa social media zao. Hii inaonyesha kwamba diamond na hata wasafi media na wabongo wengi ni watupu kuhusu suala la fake news ndio maana kuna baadhi ya wadau hapa jf nao wameanzisha thread kwa kutumia hizo source.

Hii ni kama ile TBC kutangaza kwamba Trump alimsifu jpm.

Lazima utambue position yako,kuposti taarifa isiyo na uhakika katika page yenye wafuasi millioni 12 sio jambo dogo kwani unaweza kuwaharibia popularity hao forbes.

Ni muhimu pia kwetu sisi wadau tuwe tunajihakikishia kwa kutumia source ambazo ni verified kuliko kuokota habari kila page.
TBC walamba nyayo wa mwendazake, sasa vile vipindi vya kumsifia sijui vimeishia wapi.
 
Kanye Ni mental case

He complains on everything
Well say...sijui kwanini watu watoa mfano wa Kanye wakati jamaa ni mwezi mchanga sometime...hata jana nili comment sehemu hapa Kanye huyu huyu alikuwa chawa wa Trump ili apate kupewa hela akafanye investment...na kweli baade alimuomba trump 50mil USD ili afanyie biashara ni miaka kama miwili tu tangu hayo yapite leo hii yeye anawalalamikia Forbes..
 
Back
Top Bottom