Lee Tomita
Member
- Jan 5, 2014
- 70
- 42
Niliye nae anafika anapotaka akiwa na mimi peke yangu !
Kwahiyo sina haja yakumpenda wema zaidi yakumtamani !
Na tena nisipomuangalia kwa makini !
Mi imeidownload, makalio yamekamatwa vizuri duh.....hata mi nairudia rudia kuiangalia
Kila nikimtazama ndugu yangu Ntunzu na kelele zake, ananikumbusha A-level waka 2005, kuna jamaa alikua anakelele akaweka ahadi ya kujisaidia adharani LFC ikimfunga Barca, ilishinda!!Dah alipata tabu sana watu walihitaji atimize ahadi yake tena adharani, asijaribu nayeye kufanya ivyo aisee
Una uhakika gani anafika anapotaka+yuko na wewe peke yako?! Ulitakiwa useme Wewe ndo unafika unapotaka kwa uliye naye ukiwa na yeye peke yake, Usiisemee nafsi mkuu
Kwani kuna uhakika wa Aina ngapi?
Nikutajie nilionao mimi !
nitanyanyua sime agrrrrrrr
mmmmh usije ukaniua bure !
Mana ulivyo na hasira wewe ! Sipati picha aki kuudhi unakuaje !
Kupigana picha kama ivyo ktk ilo tukio na kulifurahia ndio ulimbukeni, but kumpa Kiss la nguvu unayempenda hata kama adharani si ulimbukeni, kwa watoto wa uswazi kwenye majungu wataongea saaanaaa, ila wanaojielewa ni kawaida!
kwani nani kasema kukisiana na umpendaye kosa what i mean wanapanga matukio ili kupata attention kukis hata sokwe wana kiss we ndo wa uswaz usiishi kwa ku kremisha mwenyewe una majungu ma attention seeker ni kazi
huu unadhani nitafanyaje naongea tu hapa ila kwake mdogo kama piritoni weee umasai wote plus kiloriti heshima mbele
mwanaume ni mwanaume heshima mbele na huwezi kuwa juu yake maana ndivyo walivyo naturally created to be that way ukiitaka kuwa nao sawa wanakuangalia tu lakini kama ni ndoa utaiona chungu kwani anaweza asikupe talaka lakini hata siku moja usicheke katika maisha yako
infact wanawake wa kimasai wanaheshimu waume zao saana tu
ndo maana tunakusanya nyasi tunajenga,tunachunga na kukamua ngombe,tunalea watoto na kupika lakini HATUONGEI LOLOTE KWANI HATUJUAGI KAMA KUNAKUACHIKA
NA kampeni zenu za haki sawa hatutaki kwani hata bible imeshasema yote hayo
Umenifurahisha sana hapo kwenye ku reject equal rights ! To all ! Ya nakubaliana na wewe !
Ila mi Wamasai kwaujumla nawaogopa sana ! Yani !
Whatever male or female !
Nawaogopa yaani si mchezo !
unawaogopa kivipi??
economically
socially?
politically?
Socially !