Mwana Mwema
Senior Member
- Nov 15, 2012
- 143
- 133
socially how??
kuoa?
kuolewa
kuwa nao marafiki?
kuwatembele??
kuongea nao?
kukaa nao?
kulala nao
kuishi nao?
kuwasalimia?
kula nao?
kusafiri nao?
kusherehekea nao?....
Kukaa nao !
Mana najua mtu yeyote unaeishi nae lazma umuuzi sasa !nikimuuzi mmasai si kasheshe hiyo !
!
ushawauzi wamasai wangapi wakakufanyia kasheshe
na ilikuwa kwa mtindo gani??
Nashukuru Mungu sijawahi kuona ! Wala kutokewa na ishu kama hiyo !
sasa kinachokuogopesha nini????
wewe unahitaji kula kiloriti uoga uishe
Ila nadhani waliokulia mjini ! Hawanaga matatizo !
matatizo yapiii arrrggghh nanyanyua mkuki
chukua mdoli huyo mi hata sikuelewiMambo ya Kukasilika kasilika sana !
Kweli kuwa good marketer ni inborn character... Sio vya kusomea darasani
chukua hii basimdoli wako nae namuogopa !
Diamond ni msanii mkubwa sana nchini, anatakiwa akimbie attention, sasa hii ya yeye kutafuta attention sijui ndo dalili za kushuka?
Wacha bwanahuyu dogo diamond kavua mamba yeye anamuona jodari!