Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

kumbe pensel ni wife material! basi na sinta nae ni wife material
 
yeah nimempata mama yako...ila nimempiga chini kinuka mkojo yule

Hahahaha mwanaume ka demu kushindana na wanawake..ungekua mwanaume mwenye busara ungekaa kimya..but thts show how shouger u r.....
 
kwani we waonaje!!!!!!!!!

Niko karibu na hawa watu.najuwa wanaishije,hata kama Diamond atakuwa anakulana kwa siri na Wema ni kwa tamaa tu kama wanaume wengine walivyo na tamaa
still Penny ndiye chaguo la kwanza,peny ahe is real,ni mwanamke wa kweli kabisa ni aina ya mwanmke kila mwanamme anaetaka ndoa bora lazima atakuwa chaguo lake ,Wema ni mchafu wa tabia to the maximum,Diamond hawez mwacha Penny for Wema.
Cjui kama umenielewa dada Heaven
 
Diamond mwenyewe kakauka ka msonobari, no emotion no what, na hayo maua yenyewe mawili kitanda chote kha!$!!

Thise pics nilipiga me mwenyewena siyo kwel usemayo but unahis tu,hapo Diamond alikuwa ameungua kidole kwa maji ya mshumaa so Penny alikuwa anampoza,bahat mbaya umetizama hiyo pic moja tu.
 
Thise pics nilipiga me mwenyewena siyo kwel usemayo but unahis tu,hapo Diamond alikuwa ameungua kidole kwa maji ya mshumaa so Penny alikuwa anampoza,bahat mbaya umetizama hiyo pic moja tu.

kumbe maji ya mshumaa yanaunguza hivi eeeh?

Vipi zile mlizorusha instagram? Ndomo analishwa keki kwa mdomo penseli kamdaka shingo halafu ndomo mikono kajishika mbele? (Kakauka mama msonobari) Au alilewa?


Ila nawatakia kila la kheri waoane sio waishie kumegana tu
 
Daah..kweli domo habagui wala hachagui,jitu limeshazeeka kabisa hili...eti kimwana au libibi:A S-confused1:
 

Attachments

  • image.jpg
    23.1 KB · Views: 431
Nimefurahi kusikia hivyo huyo penny mmh ila sepetu banaa.hongeren kama imekuwa hivyo ntarudi kuwa shabiki wa Diamond tena.Sio siri,couple yenu naipenda sana ila sasa mtulie
 

we ndo msemaji wa diamond....

Hasa katika issue sensitive kama hizi za mapenzi.......
 
heaven on.... uko wapi confirm these rumours.
 
Diamond mwenyewe kakauka ka msonobari, no emotion no what, na hayo maua yenyewe mawili kitanda chote kha!$!!

hahaaa pozi la maua na kuchora LOVE la siku nyingi looh...

mjin kuna mambo aisee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…