Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

Besidei ya Diamond.....nimeziona kule mtaa wa saba........Ngoja nizicopy hapa

Nimemuona huyo Halima lol...Bonge la Jimama...kweli mjini pesa inatafutwa.............

Hiko kipindi alichoendaga katika Show nilisikia lakin nilikuwa simjui huyo Halima

mamii hebu tuwekee hiyo picha ya mke mwenza!!
sijui nani vile,, naniii... eeenh,, halima!

hivi ni halima mde.e au?
 
Heaven on earth Mweleze huyo Diamond na girlfriend wake.. tunaupenda mziki wake ila atambue nguvu ya social networks atumie ku post kazi zake na sio "bedroom life". Mambo ya kuungua na mshumaa unayajua wewe. What we deduce they are trying too much to show watu kwamba wanapendana inahusu?? Mambo ya familia kujaa kwenye kitanda cha kaka..nonooo. Diamond hana furaha picha hueleza mengi sana....inaelekea penzi la Wema bado linamtesa hata hivyo Penny naya hana sababu ya kujifanya ni Wema she should live her life. Haya mambo huwa yanatokea uko kwenye relationship nyingine ila bado unamfeel mtu mwingine. Sasa familia iwape space...watu wamejazana from all walks of life..uswazi uswazi.. sasa wapenzi watabond vipi?? Wanajitahidi sana kumuonyesha Penny alivyokuwa anafanya Wema...Kiruuuuu. Seeing hizi picha dunia nzima nilitamani Penny awe mdogo wangu nimpe kitchen party...bedroom sio kila mtu anaingia mpaka Mama Mkwe? naona nitaanndika gazeti :tape:
 
Last edited by a moderator:
Jamani nimesikia Diamond na Wema wamerudiana,,Penny kapigwa chini..hii ni habari njema sana naipenda hii couple...ila ni habari mbaya kwa Kidoti.Sasa ile gari ya Penny aliyonunuliwa na Platnumz atairudisha ama ndio ataambulia angalau ako kagari .

https://www.jamiiforums.com/attachment.php?attachmentid=115890&stc=1&d=1381341249
 

Attachments

  • .%CD%A1%E2%96%B9%E2%80%8BNaa.jpg
    14.2 KB · Views: 481
Y msiwe mnafanya kautafit hata kadogo kabla ya kuropoka?eti Diamond kamwacha Penny karudia Wema..yani tunaojuwa whats goin on tunawachora tu.
msichachawe na pics hizo.
Diamond n Wema wameply movie moja kama wahusika na hizo ni mbwembwe za kutengeneza tenshen za hiyo Movie.
Siku nyingine usijudge kabla ya kutafit.
Ukiona kazi sana niulizen hata mie anythn concerning Naseeb,Wasafi etc....
 
Nimefurahi kusikia hivyo huyo penny mmh ila sepetu banaa.hongeren kama imekuwa hivyo ntarudi kuwa shabiki wa Diamond tena.Sio siri,couple yenu naipenda sana ila sasa mtulie

Keep dreaming ndoto za jion.
Diamond na Wema wanatumiana kibiashara na wanajua kweli kucheza na akiri zenu wenye akili za udhabiki.
STAY WAITN KWA MOVIE YA KIHISTORIA FROM WEMA N DIAMOND
 
Hee!! Ww unalipwa? Em tupishe sie ka movie au kitu gani shaur yao kha
 
Thise pics nilipiga me mwenyewena siyo kwel usemayo but unahis tu,hapo Diamond alikuwa ameungua kidole kwa maji ya mshumaa so Penny alikuwa anampoza,bahat mbaya umetizama hiyo pic moja tu.

Usitupotoshe bana watu tuko smart ghorofani.sio lazima utetee kila kitu vingine chunia tu unajiaibisha.. Eti anampooza... Mxieeeeew...!! Fanya yakoo mengine.. Lakini usitudanganye
 
kuna kitu nilitaka kukuambia ila sitaki kukuudhi kusema kweli.
ila dimondo anamega papuchi mjini hapa...mwambie kuna ngoma bwana.mademu wenyewe hao hawajatulia hata kidogo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…