Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

Diamond na Wema "WARUDIANA" ....

Judi wa Kishua

JF-Expert Member
Joined
Apr 15, 2012
Posts
1,159
Reaction score
1,274
Jamani nimesikia Diamond na Wema wamerudiana,,Penny kapigwa chini..hii ni habari njema sana naipenda hii couple...ila ni habari mbaya kwa Kidoti.Sasa ile gari ya Penny aliyonunuliwa na Platnumz atairudisha ama ndio ataambulia angalau ako kagari .
 
wanaume hawajui kutafuta maisha ni kitu kingine na mapenzi kitu kingine.Diamond ile tabia yake ya kukuwadia kila siku mademu wapya na halimakimwana aaache kabisa.
 
wanaume hawajui kutafuta maisha ni kitu kingine na mapenzi kitu kingine.Diamond ile tabia yake ya kukuwadia kila siku mademu wapya na halimakimwana aaache kabisa.

nasikia halima kimwana ndio anaamua amuweke nani kwa Diamond...
 
Ila inasemekana si kweli wadau..ila penny simpendiii hajuI kuvaa...ht akivaa hapendezi khaaaaa
 
Mshanichanganya sasa... Diamond kapita namastaa wangapi kwani, 1.Sepetu (Miss) 2.Kidoti (Miss) 3.Penny (Huyu ndio nani? Mweh ngoja nika-Google)
 
Jamani nimesikia Diamond na Wema wamerudiana,,Penny kapigwa chini..hii ni habari njema sana naipenda hii couple...ila ni habari mbaya kwa Kidoti.Sasa ile gari ya Penny aliyonunuliwa na Platnumz atairudisha ama ndio ataambulia angalau ako kagari .

Tabu ya wanafacebook kuanza kuingia humu wanalea habari ki facebook facebook.hii niu forum ya great thinker and ur not among of them hebu tuondolee ushudu wako
 
There are many mistakes a man can make, falling in love with diamond is among the worst mistake penny ever made. Maana wanao muombea majanga atemwe ni wengi sana utadhani diamond aliumbiwa awe na wema tu.
Namuonea huruma sana huyu penny, na nawaonea huruma madada wote wanaojiweka kwa diamond wakahama kwao maana kwa sasa diamond bado moto moto msubiri apoe.
 
There are many mistakes a man can make, falling in love with diamond is among the worst mistake penny ever made. Maana wanao muombea majanga atemwe ni wengi sana utadhani diamond aliumbiwa awe na wema tu.
Namuonea huruma sana huyu penny, na nawaonea huruma madada wote wanaojiweka kwa diamond wakahama kwao maana kwa sasa diamond bado moto moto msubiri apoe.

what are u tryn to tell? being with Naseeb is a first class mistake
 
There are many mistakes a man can make, falling in love with diamond is among the worst mistake penny ever made. Maana wanao muombea majanga atemwe ni wengi sana utadhani diamond aliumbiwa awe na wema tu.
Namuonea huruma sana huyu penny, na nawaonea huruma madada wote wanaojiweka kwa diamond wakahama kwao maana kwa sasa diamond bado moto moto msubiri apoe.

ha ha hata mie naombea kapeny kapigwe chini kwanza hakana swaga kapokapo tu hata kakivaaa hakipendezi.
#Team diamond&Wema
 
Tabu ya wanafacebook kuanza kuingia humu wanalea habari ki facebook facebook.hii niu forum ya great thinker and ur not among of them hebu tuondolee ushudu wako

sio bure una stress za maisha wewe,,tafuta mchumba uholewe maisha ndio haya haya mdogo wangu.
 
nasikia halima kimwana ndio anaamua amuweke nani kwa Diamond...

kabisaaaaa mpaka domo anamlipia kodi yaani mjini kuna maisha ya kifala sana mtu anatombeka weeeeee kisha anamkuwadia mwanaume huyohuyo kwa wanawake wengine siku domo akikosa wa kulala nae halima kimwana anaingia mzigoni.Shida ukiziendekeza sana hata utu unakutoka
 
Jamani nimesikia Diamond na Wema wamerudiana,,Penny kapigwa chini..hii ni habari njema sana naipenda hii couple...ila ni habari mbaya kwa Kidoti.Sasa ile gari ya Penny aliyonunuliwa na Platnumz atairudisha ama ndio ataambulia angalau ako kagari .

Tutolee umbea hapa...mbona baba na mama yako walivyorudiana haukupost hapa JF
 
Mnajaza server ya jf tu na pumba pumba tu nendeni mtandao wa global publishers ndio unawafaa

server ya Jf unaichangia wewe au ushambenga ? kama utaki tujaze server andamana na mkeo celebs forum ifutwe wewe vipi.
 
what are u tryn to tell? being with Naseeb is a first class mistake
For Penny being with Naseeb is a first class mistake because I dont think if Naseeb really loves Penny and from my point of view Penny has more expectations from this relationship and as you know expectation is the source of many heart breaks
 
Mgunduziforeva me mwanamke ht ukiniita shoga t doesn't hurt Hahahaha pole weeee
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom