Chinga One
JF-Expert Member
- May 7, 2013
- 11,469
- 12,391
Woman is for one man but Man is for many women.....!![emoji85]Kama ni kweli,basi hamtendei haki Zari.
HahahahaaaWanazidi kusogeleana,
Aisee huu ubuyu wako nao uko hot.kama uliangalia kipindi cha weekend chat show ya clouds tv ijumaa soud alitoa udaku diamond kuna day kadondonsha kwa wema ununio kimya kimya mchizi anamega kisela(inasemekana lakini) ndo mana bila shaka madam kalegeza vita kwa chibu.teh teh teh punda uliezoea kumpanda kamwe hawezi kukudondosha.idrisa kazi anayo....
Fanya review ya hiyo show ya ijumaa segment flan hiv wanazima taa then wanapiga stori..[emoji108]Aisee huu ubuyu wako nao uko hot.
Mbona haujavuja kwa media??
Ngoja niifuatilie aiseeeeFanya review ya hiyo show ya ijumaa segment flan hiv wanazima taa then wanapiga stori..[emoji108]
Wala hakihitaji moto mwingiKiporo hakipashwi
Ndiyo uone baadhi ya wanaume wasivyoridhika.....Kama ni kweli,basi hamtendei haki Zari.
Afu kiwe cha wali na kisamvu.Wala hakihitaji moto mwingi
Wacha kabisa yaniAfu kiwe cha wali na kisamvu.
Ipi?Yeye kama msanii amebig kwa kauli yake hii
Santeeeeeeee madam #valentinaWala hakihitaji moto mwingi
Wanaumee tamaaa tu inatuandamaNdiyo uone baadhi ya wanaume wasivyoridhika.....