Diamond: Nadhani Wema Sepetu ameanza kunikubali kimya kimya

Aisee huu ubuyu wako nao uko hot.

Mbona haujavuja kwa media??
 
Hawana lolote wameshaanza wanataka kukushia mapenzi yao kwani mahawala huwa hawaachani siku wakijisikia na kila mmoja kamiss shoo ya mwenzie basis wanatafutana kimya kimya na wanamaliza kimyakimya!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…