Diamond ndio anayezungumziwa zaidi "talk of the town" Tanzania

Ukisika mtu kacheza kama Pele basi ni DP. Uamuzi wake wa kupiga nyimbo za Ali Kiba katumia busara na hekima kubwa sana. Hakuna sababu ya kuendeleza ligi isiyo na tija.

Anachokifanya Diamond na WASAFI TV kuwaunganisha wasanii wote Tanzania hasa wale ambao walikuwa wametengwa na Clouds na EATV....si kitu kidogo. Ni kitu kikubwa sanaa na cha kupongeza mnoo...

Pamoja sana Wasafi TV
 
Umekula maharage ya wapi mkuu[emoji13] [emoji13] Nyie haters Diamond asipowatekenya kwa headlines anazomake anafanya muwashwe mpaka mnakurupuka kumpambanisha na Mungu!!SERIOUSLY [emoji6] Mmeona Hamna wa kumfikia mnaanza kumpambanisha na Mungu[emoji1] Mungu ni Mungu jaman hawezi kupambanishwa na Diamond
 
Habari kama hii Mawingu Media wanatamani waifute!African Beauty ndo habari ya mujini!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…