Diamond ndiyo msanii mvumilivu kuliko wasanii wote duniani?

Diamond ndiyo msanii mvumilivu kuliko wasanii wote duniani?

Diamond wakati utafika ataandikwa kwenye vitabu vingi kama reference na case study, atapewa PhDs na sanamu lake litajengwa. Ni msanii wa kihistoria. Tanzania tunaringa sana wakati huu yote ni kwa sababu yake.
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Diamond wakati utafika ataandikwa kwenye vitabu vingi kama reference na case study, atapewa PhDs na sanamu lake litajengwa. Ni msanii wa kihistoria. Tanzania tunaringa sana wakati huu yote ni kwa sababu yake.
Pumbavu
 
Wasanii wengi bongo wamemuiga uvaaji wake diamond uiambaji swags n.k hata mario anajua hilo
 
NAONA UMEWAZA KWA UPEO WAKO.

WENZETU WANA MSEMO:
Not every part of your PRIVATE LIFE needs to be PUBLIC

ADUI WA KWANZA WA MTU NI YEYE MWENYEWE,
ADUI WA PILI NI MFUMO WAKO WA MAISHA.

EBU SEMA, HAO MA X ZAKE WANAO MPIGA VITA, ALICHAGULIWA NA TAIFA AU MASHABIKI ZAKE?
MAISHA BINAFSI KUYAFANYA YA KITAIFA SIO SANAA,
MAMA ANATIWA NA KIJANA MDOGO, WATU WANAJUA
BABA ANATIA KISICHANA KIDOGO WATU WANAJUA
DADA ANATIWA MBELE NYUMA WATU WANAJUA
KAKA ANATIA HUYU YULE, WATU WANAJUA.
YAANI UTAFIKIRI NI FAMILIA YAO TU YENYE "VIFANYIO MATUSI"

HUKU ANAJENGA MSIKITI, HUKU ANATUNZA NA KUFADHIRI MASHOGA!

Mkuu hata wewe ulichoandika hapa ni upeo wa kuwaza kwako pia

Domo kavunja kanuni zako zote lakini ndio mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa kuliko wote Tz kama sio East Africa

Shida ni kwamba unataka Domo na familia yake waishi kama ulivyokaririshwa wewe kwamba ndio FOMULA ya maisha
 
Anamapungufu yake Kama binadamu Ila Tunapaswa kupongeza ufanyaji kazi wake kwa bidii na ukimya wake anapopitia magumu.
 
Mkuu hata wewe ulichoandika hapa ni upeo wa kuwaza kwako pia

Domo kavunja kanuni zako zote lakini ndio mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa kuliko wote Tz kama sio East Africa

Shida ni kwamba unataka Domo na familia yake waishi kama ulivyokaririshwa wewe kwamba ndio FOMULA ya maisha
NI KWELI KWENYE MAFANIKIO AMEFANIKIWA, HIYO IKO WAZI.

NINACHO MAANISHA ASIKIMBIE KIVULI CHAKE KUTOKANA NA MFUMO WA MAISHA YAKE.
MLEVI MMOJA AKIENDA BAA KUNYWA POMBE, KWA PESA ZAKE AKAELWA KWA HIARI YAKE.
AKAENDESHA GARI YAKE NA KUSABABISHA AJALI. HAPO KOSA LA POMBE AU MLEVI?
 
NI KWELI KWENYE MAFANIKIO AMEFANIKIWA, HIYO IKO WAZI.

NINACHO MAANISHA ASIKIMBIE KIVULI CHAKE KUTOKANA NA MFUMO WA MAISHA YAKE.
MLEVI MMOJA AKIENDA BAA KUNYWA POMBE, KWA PESA ZAKE AKAELWA KWA HIARI YAKE.
AKAENDESHA GARI YAKE NA KUSABABISHA AJALI. HAPO KOSA LA POMBE AU MLEVI?

Mkuu sasa Domo kafanya kosa gani kwani ambalo anakimbia kivuli chake
The guy seems to enjoying his life to the most
 
Back
Top Bottom