Diamond ndiyo msanii mvumilivu kuliko wasanii wote duniani?

Diamond wakati utafika ataandikwa kwenye vitabu vingi kama reference na case study, atapewa PhDs na sanamu lake litajengwa. Ni msanii wa kihistoria. Tanzania tunaringa sana wakati huu yote ni kwa sababu yake.
Wewe msssssenge innocent dependent unapenda kuongea uongo kisa tu dayamondi anakutatua marinda. Wewe matterco lokole tunakujua vizuri shoga wewe mpigwa miti
 
Diamond wakati utafika ataandikwa kwenye vitabu vingi kama reference na case study, atapewa PhDs na sanamu lake litajengwa. Ni msanii wa kihistoria. Tanzania tunaringa sana wakati huu yote ni kwa sababu yake.
Pumbavu
 
Wasanii wengi bongo wamemuiga uvaaji wake diamond uiambaji swags n.k hata mario anajua hilo
 

Mkuu hata wewe ulichoandika hapa ni upeo wa kuwaza kwako pia

Domo kavunja kanuni zako zote lakini ndio mwanamuziki mwenye mafanikio makubwa kuliko wote Tz kama sio East Africa

Shida ni kwamba unataka Domo na familia yake waishi kama ulivyokaririshwa wewe kwamba ndio FOMULA ya maisha
 
Anamapungufu yake Kama binadamu Ila Tunapaswa kupongeza ufanyaji kazi wake kwa bidii na ukimya wake anapopitia magumu.
 
NI KWELI KWENYE MAFANIKIO AMEFANIKIWA, HIYO IKO WAZI.

NINACHO MAANISHA ASIKIMBIE KIVULI CHAKE KUTOKANA NA MFUMO WA MAISHA YAKE.
MLEVI MMOJA AKIENDA BAA KUNYWA POMBE, KWA PESA ZAKE AKAELWA KWA HIARI YAKE.
AKAENDESHA GARI YAKE NA KUSABABISHA AJALI. HAPO KOSA LA POMBE AU MLEVI?
 

Mkuu sasa Domo kafanya kosa gani kwani ambalo anakimbia kivuli chake
The guy seems to enjoying his life to the most
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…