😹😹😹😹Asamehewe kwa lipi? Baada ya kuona mmemshindwa kum-disqualify kwa petition mnaanza tunga asamehewe? Kawaomba msamaha? Huyu kijana aendelee kukaza nati hadi watu wanyooke kama rula...
Natambua wazi alijiharibia pakubwa alipojiunga na KAYAFA kupitia kazi zake. Na niliwahi kuandika uzi kumhusu yeye na Konde boy kwamba kitendo hicho kina athari kisanii huko mbeleni.
Kuna ambao walinibeza sana lakini always muda ni hakimu wa haki na kamwe maandishi hayafutiki!
H
Kuna kitu unashindwa kuelewa hakuna mtu ambaye hajui diamond alichokifanya kwenye tasnia ya muziki amefanya makubwa sanaNatambua wazi alijiharibia pakubwa alipojiunga na KAYAFA kupitia kazi zake. Na niliwahi kuandika uzi kumhusu yeye na Konde boy kwamba kitendo hicho kina athari kisanii huko mbeleni.
Kuna ambao walinibeza sana lakini always muda ni hakimu wa haki na kamwe maandishi hayafutiki!
Hapa nisiwazungumzie haters wa kawaida wa Diamond. Huwezi kupendwa na kila mtu wala huwezi kuchukiwa na kila mtu. Wala nisiwazungumzie wale haters ambao kwa kushindwa kwao kimaisha basi hasira zao zote wanazihamishia kwa waliofanikiwa.
Hapa tujadiliane na wenye hoja kwa muktadha wa Tanzania kama taifa lililopitia madhila makubwa chini ya mkono dhalimu wa mtu mmoja tu. Huyu ndio alimponza Diamond!
Sometimes ni lazima kuambiana ukweli hata kama ukweli huo hatutaki kuusikia na hauna ladha wala mvuto! Kuna wakati ukweli huwa mchungu kama pakanga!
Ni ukweli usiopingika kwamba:-
- Diamond ndio msanii mwenye mafanikio zaidi kwa sasa Tanzania
- Diamond ndio msanii tajiri zaidi kwasasa Tanzania
- Diamond ndio msanii aliyetangaza mziki wa bongo ndani na nje ya nchi kuliko mwanamuziki mwingine yeyote wa bongo fleva
- Kupitia kazi zake ameweza kuitangaza Tanzania pakubwa sana Duniani
- Amekuwa ni balozi wetu kwenye tasnia ya sanaa ya mziki nje ya mipaka ya Tanzania!
Kwenye mashindano kuna washindi na washindwa! Diamond kashindwa. Na sababu za kushindwa zipo nyingi. Hata kama tutakataa ile kampeni ya watu wa jamhuri ya Twitter lakini ilichagiza pakubwa mno kudhoofisha ushindi wake!
Ana la kujifunza kubwa sana hapa. Hasa kama asiposhupaza shingo!
Mashindano yameisha! Na Diamond kashindwa sasa ni wakati wa marejeo.. Haters wake ni vifijo na nderemo kila kona! Sasa wanaenda mbali zaidi! Wanamdiss na kumdhihaki mavazi aliyovaa siku ya shindano.
Tukiwa na Tafakuri hatupaswi kumbeza wala kumcheka! Angevaa nini sasa ili amridhishe kila mmoja? Chochote ambacho angevaa kingekosolewa na kusifiwa kwa wakati mmoja! Watanzania hatuna vazi rasmi la taifa. Vazi la kimasai kwa sehemu kubwa ndio huchukuliwa kama utambulisho wa taifa.
Ubunifu wa Diamond kuvalia 'kimasai' ni wa kupongezwa japo umekutana na ukosolewaji mkubwa mitandaoni.. Lakini tukumbuke jambo moja muhimu sana. Diamond hakwenda kwenye shughuli ya kitamaduni bali kisanii. Hivyo nakshi na vionjo alivyoongeza kwenye lile vazi vilikuwa vya kisanii zaidi kuliko kuzingatia mila na tamaduni za kimasai. ASAMEHEWE!
Mwisho kabisa:
Pamoja na mashindano haya kuendelea kumpa Diamond mileage kimataifa na kuzidi kuitangaza Tanzania hata kama kakosa tuzo! Lakini ni muda sahihi kwake sasa kujirudi na kujitafakari upya! Pamoja na kuwa na haki ya kisiasa ya kuchagua chama cha siasa apendacho. Lakini kama msanii anatakiwa kuwa mwerevu sana linapokuja suala la kuwagawa mashabiki wake kwa mitazamo yake kisiasa.
Kazi yake ma mashabiki wake ni muhimu sana kuliko mapenzi yake kwa watawala wa kisiasa!
DIAMOND IKIKUPENDEZA OMBA RADHI
Neno samahani Lina nguvu sana ni neno dogo sana lakin inamuiya vigumu kulitamka Ila historia ni hakimu mzuriKwa mara ya kwanza leo naona nitaenda tofauti na wewe.
Mengi umesema ya kweli, lakini kuhusu kumsamehe itakuwaje asamehewe wakati yeye bado kakomaza shingo hataki kukubali kuwa alitumia umaarufu wake kumuunga mkono mtu aliyekuwa anakandamiza na kuua washabiki wake na Watanzania wengine.
Shida kubwa ya Diamond ni kukosa timu ya washauri wazuri na kuendesha shughuli zake kwa kufuata mirindimo ya Kiki na wapambe mbuzi.
Hivi ndugu yangu Mshana Jr kwani mashambilizi yalipoanza kuhusu BETAwards angejitokeza na kuomba radhi kwa maneno machache;
"Nadhani kuna mahali nilikosea washabiki wangu na wasio washabiki, Nisameheni nawapenda sana" unadhani nani angeendelea kumsema?
Hivyo nami nikiona kejeli kwake nitaishia kucheka tuu kwani bado hajatambua kosa lake na anaendelea na kiburi.
View attachment 1834181
Acha uongo wiz kid hawajawahi mpigia kampeni mgombea wa urais yeyoteHahahaaah!
Kwani Wizkid kashinda?
Aya Nakamura je?
Na wale wengine wameshinda?
Au nao walifanyiwa petition uchwara za huko twita na kina vigogo wa huko kwao?
Labda sifatiliagi mambo vizuri, Wizkid ashawahi ungana na Buhari wanayemwona kwao km useless prezidaa? Je hakukemea sars?
Sasa kwanini hajashinda?
Vp na hao wengine nao walijiingiza kwny siasa za nchi zao?
Us*nge huu unaonesha ni namna gan una upeo mdogo wa kufikiria... Leta hoja za msingi za kumshauri na sio eti awaombe msamaha hawa wapiga kelele wa mtandaoni, ambao kwa namna moja ama nyingine hakujaathiri chochote katika kukosa kwake tuzo au kazi yake ya sanaa (rejea ile petition uchwara)
Hana sababu ya kumuomba yeyote msamaha zaidi ya kuwashukuru watu waliokuwa bega kwa bega na yeye kwa sababu katika category ile sio yeye pekee ndo kakosa, Kuna wengine 6 nao wamekosa ambao kwa namna moja ama nyingine ni bora zaidi yake
Acha mihemko na unafiki bro hahahaaah!
Lakin suala la Roma kutekwa, mke wake kuangaika mpaka kwenda mortuary, mda huo huo msanii mkubwa Tanzaniakuja kutoa nyimbo ya Bora ukae kimya Bora hata asingeitoa Ile nyimbo akakaa kimya [emoji817][emoji736][emoji1548][emoji1545][emoji1545]Kuna kitu unashindwa kuelewa hakuna mtu ambaye hajui diamond alichokifanya kwenye tasnia ya muziki amefanya makubwa sana
Lakin suala la Roma kutekwa, mke wake kuangaika mpaka kwenda mortuary, mda huo huo msanii mkubwa Tanzaniakuja kutoa nyimbo ya Bora ukae kimya Bora hata asingeitoa Ile nyimbo akakaa kimya
Na diamond kama angekua mzungu au mstaarabu angeomba radhi kwa Roma na familia yake, Ila hawez kwa sababu busara na hekima hizo Hana
Nimetimiza wajibu wangu kumtetea.. Hayo mazonge mengine apambane nayo mwenyewe.. Kama kawafanyia wengine usnitch sina kikao cha kumkingia kifuaMshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za kimuziki. Pili ni kuwa anatakiwa abadili management yake maana
😂😂😂😂 Aige mfano wa bakhresa!!!!Mshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za kimuziki. Pili ni kuwa anatakiwa abadili management yake maana hao mameneja wake wote wameshapitwa na wakati wanashindwa kumshauri vzr kimataifa ni wakati sasa wa kupata meneja atakayemwakilisha kimataifa.
Tatu aweze kusapoti muziki wa watanzania wenzake mana naona kila wanamuziki wenzake washindani wake wakitoa nyimbo badala ya kuwasapoti na yeye anakimbilia kutoa nyimbo na kwa kuwa ana access na media basi anajitahidi kuwashusha wenzake ili atrend yeye tu hilo ni kosa kubwa. Nne anapenda sifa kuliko chochote wakati watanzania wengi wanaomsapoti ni maskini kwa kiwango kikubwa sasa anapojibrand kila akinunua magari au majumba watu wengi hawapendi na wanakuwa na chuki kubwa moyoni aige mfano wa kina Bahresa hawapendi show off na wana pesa nyingi tu. Ni hitimishe dogo kazingua sana kmmk inabidi aombe radhi pia abadilike.
Bakhresa hayuko kwenye showbiz hivyo mfano wako hauna uhalisia.Mshana Jr upo sahihi kwa mtazamo wako na wengine kwa jicho la tatu. Ila dogo pamoja na kuwa yeye ni tajiri kibongobongo ana dharau sana kwa wanamuziki wenzake na alishawahi kutoa kauli kuwa wote wajipange wafanye show pamoja alafu yeye atawakalisha, hiyo ni dharau kubwa kwa upande wa medani za kimuziki. Pili ni kuwa anatakiwa abadili management yake maana hao mameneja wake wote wameshapitwa na wakati wanashindwa kumshauri vzr kimataifa ni wakati sasa wa kupata meneja atakayemwakilisha kimataifa.
Tatu aweze kusapoti muziki wa watanzania wenzake mana naona kila wanamuziki wenzake washindani wake wakitoa nyimbo badala ya kuwasapoti na yeye anakimbilia kutoa nyimbo na kwa kuwa ana access na media basi anajitahidi kuwashusha wenzake ili atrend yeye tu hilo ni kosa kubwa. Nne anapenda sifa kuliko chochote wakati watanzania wengi wanaomsapoti ni maskini kwa kiwango kikubwa sasa anapojibrand kila akinunua magari au majumba watu wengi hawapendi na wanakuwa na chuki kubwa moyoni aige mfano wa kina Bahresa hawapendi show off na wana pesa nyingi tu. Ni hitimishe dogo kazingua sana kmmk inabidi aombe radhi pia abadilike.
Natambua wazi alijiharibia pakubwa alipojiunga na KAYAFA kupitia kazi zake. Na niliwahi kuandika uzi kumhusu yeye na Konde boy kwamba kitendo hicho kina athari kisanii huko mbeleni.
DIAMOND IKIKUPENDEZA OMBA RADHI
Aombe msamaha kwa kosa gani? Kama ni kufanyia kampeni ccm mbona wasanii wengi tu walifanya? Tena karibia wote. Mbona wao hamwafanyii hivyo? Nandy anafanya nandy festival mbona hamfanyi figisu ili watu wasiende kwenye show yake? Acheni chuki kwa kijana wa tandale bana. Kama ni kweli ebu anzeni kuwawajibisha na wengine sio mnamuandama Diamond pekeake.Mkuu KIBRI hakimsaidii huyo. Aombe radhi hadharani ili Watanzania wamsamehe vinginevyo atapata tabu sana. Watanzania ni wepesi sana wa kusamehe. Kama haoni makosa yake basi aendelee kushupaza shingo. Wahenga walisema mkaidi hafaidi hadi siku ya ……….
Huwa simkubali Diamond ila ngoja nimtetee kidogo.Kuna kitu unashindwa kuelewa hakuna mtu ambaye hajui diamond alichokifanya kwenye tasnia ya muziki amefanya makubwa sana
Lakin suala la Roma kutekwa, mke wake kuangaika mpaka kwenda mortuary, mda huo huo msanii mkubwa Tanzaniakuja kutoa nyimbo ya Bora ukae kimya Bora hata asingeitoa Ile nyimbo akakaa kimya
Na diamond kama angekua mzungu au mstaarabu angeomba radhi kwa Roma na familia yake, Ila hawez kwa sababu busara na hekima hizo Hana
Very powerful. Ikimpendeza aombe msamahaNatambua wazi alijiharibia pakubwa alipojiunga na KAYAFA kupitia kazi zake. Na niliwahi kuandika uzi kumhusu yeye na Konde boy kwamba kitendo hicho kina athari kisanii huko mbeleni.
Kuna ambao walinibeza sana lakini always muda ni hakimu wa haki na kamwe maandishi hayafutiki!
Mpuuzi mkubwa kabisa weweMnavyosema ana dharau kisa alisema wakusanyike wasanii wote na ye awe pekeake anawakalisha mnajua haya mameno aliyasema kipindi gani? Hii kauli aliitoa kipindi media zote zimemsusa hazipigi nyimbo zake wala kumpa support yoyote. yaani
Na nyie msasubili Diamond ashuke mtasubili sanaaa!.