Me too
JF-Expert Member
- Feb 9, 2015
- 7,388
- 9,333
Mkuu Mondi hapendi kuwa fursa ila anataka fursa,
Kusema kuwa enzi za kampeni alikosea kujichanganya pesa aziache kisa ni mambo ya siiasa?
Hakunaga kitu cha ivo ata km ungekuwa ni wewe hapo fursa ya pesa lazima uifate ila usiasa haupo mfano mzuri tu kina lady jay dee na misimamo yao amefikia wapi sasa.
Mjini ni fursa sio uwe fursa.
Kusema kuwa enzi za kampeni alikosea kujichanganya pesa aziache kisa ni mambo ya siiasa?
Hakunaga kitu cha ivo ata km ungekuwa ni wewe hapo fursa ya pesa lazima uifate ila usiasa haupo mfano mzuri tu kina lady jay dee na misimamo yao amefikia wapi sasa.
Mjini ni fursa sio uwe fursa.