Diamond ni limbukeni wa mafanikio

Diamond ni limbukeni wa mafanikio

Vipi kuhusu ile ya kupokelewa baada ya kukatwa Ubunge kwa yule x wake? Mi nadhani ile inakera Zaidi....

Ile wanajifanya wqmeisahau wala hawaiongelei kabisa! Haters wana mambo mengi kuliko unavyoweza kufikiria
 
Ngoja nikuulize,
Hukualikwa. Hukwenda. Hapo kinachokukera nini?
Au zile picha zinaozoonyesha watu wakimshangilia barabarani? Kaka jipunguzie magonjwa ya moyo mu unfollow prezidaa na page zote za wasafi...otherwise maumivu yakizidi pata ushauri wa daktari
 
Back
Top Bottom