Diamond ni mchawi, achaneni naye!

Nakumbuka nilipokuwa O-level ni wachache waliokuwa na mwandiko mzuri ambao tuliwaomba watusaidie kuandika barua walikuwa wanapiga Division 1.7
 
Ukitaka ufanikiwe, jishushe, acha chuki ambazo haziwezi kukupeleka kokote then kaa pembeni hata kama unajua jambo jifanye hujui utafaidi mengi.

Kiba kiburi na kuvimba kichwa ndicho kinamponza.

Sasa Domo yuko studio anarekodi nyimbo na msanii mkubwa africa ambaye kiba alimvimbia kuwa eti yeye ni mkubwa kuliko Wiz kid kule Kenya
 
Ali anatafuta mafanikio gani makubwa kumzidi wizkid?? Mwenzie kaja kupiga show ana ametoka kwenye show kaunga mpaka bongo aje wasafi.
Ukimsikiliza mzee wa upako utamuelewa kiba mashauzi mengi.
 
Nyimbo za Ali Kiba unaweza kuzikiliza ukiwa umekaa na wakwe zako. Hazina matusi anatumia lugha za staha.

Kwasauti Kiba ni Mfalme wa muziki Tanzania.
Mwache aendelee kutoa hizo nyimbo za kusikiliza na wakweze huku akiendelea kuwa masikini.

Kiufupi tz kizazi kimebadirika mno na diamond anacheza na akili zao na humo ndio unaona najipigia tu mihela
 
Sumbi Sanchez,
Tanzania ina wanachama hai zaidi ya 600 wa kundi la watu wenye imani ya siri ya Freemasons.
 
Sumbi Sanchez,

Upuuzi mtupu,Ndio ni mchawi wa kutafuta pesa.

Kinachowaumiza kichwa, ni kwmaba imewezekanaje, Mond awapite wote waliomtangulia, Bob Junior, Juma Necha, Lady JayD, Mwanafa, AY, Chege, Prof J, Mr 2, kwamba huyu kijana kutoka uswahilini Tandale imewekanaje akawa na mshiko mkubwa kiasi hiki?

Miaka ya 2000, hakuna aliyekuwa na sauti tamu kama TID, au Dully Sykes! Sasa hivi wapo wapi kwa mshiko!kipindi hicho Mond hayupo,Kiba alikuwepo, kama alikuwa anasauti nzuri,mbona hakuwapita?

Hakuna mwana hiphop mwenyemvuto bongo kama Mr blue!,lakini hamfikii Mond kwa mshiko,
Na nyinyi mkisika wasafi mnamuona Mond tu.

Wasafi ni bonge la chama; kuna watu kibao,mameneja,watu wanaoujua mziki nyuma yake!
Ndio no mchawi,Ila uchawi wake sio wa kupaa na ungo,ni was kusaka mshiko.

Huyo Kiba wenu aliulizwa swali moja tu,mbona uendi kushiriki wasafi festival,akadai na yeye anatafuta mafanikio yake.
Kwahiyo mpaka sasa HV bdo hajapata mafanikio!pamoja na sauti yake unayoisifia.
 
Nyimbo za Ali Kiba unaweza kuzikiliza ukiwa umekaa na wakwe zako. Hazina matusi anatumia lugha za staha.

Kwasauti Kiba ni Mfalme wa muziki Tanzania.
Shemela, Kiba alichemka pale alipotoka kuimba na R Kelly ilibidi fursa ile anyoke nayo... Mwenzie Diamond alipoimba tu na DAVIDO akasema na fursa hadi leo... KIUKWELI KIBA HAMFIKII DIAMOND BANA... Ndo maana wengi wameshindwa kutaja sababu wanaishia KUTAJA UCHAWI... Ndo akili za wapenzi wa KIBA
 
Alikiba naye ni mchawi wa vocals. Sema tatizo yee hapendi show off tu [emoji3][emoji3][emoji3][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Mond huwa anazinunuaga views amini hivyo
 
Eric Thomas aliwahi kusema "There is no such thing called talent, there is always hard work and objective"

Kama kijana mwenye ndoto za mafanikio Diamond ana ni inspire sana japo mishe zangu hazipo kwenye mziki but his attitude ya kutoridhika na mafanikio kama wasanii wengine inaongeza motivation kubwa sana kwa vijana wenye vision na njaa ya mafanikio.
 
Lala salama , ntarejea, ukimwona, nataka kulewa, mapenz basi aisee hzo nymbo n dope
 
Point nzuri
 
Wimbo wa "AJE"[emoji443][emoji444]
Hata ukipigwa 2025 hautochuja,,upo vile vile tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…