Bushrah
JF-Expert Member
- May 9, 2014
- 413
- 791
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sanaalikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] noma sanaalikiba keshafanya sana hizi sema hapendi show off
Jamaa ni true international performer kupenda kwake kujifunza ndio kumemfanya awe hivyo alivyo!
Watu kama Shaggy pamoja na uzee wake ana uwezo wa kupiga show hata masaa manne non stop! bila shaka hata Diamond lazima kajifunza kutoka kwa watu kama hawa. Sitaki kuamini kama kuna energy enhancers zozote anazotumia.
Lazima atakua anakula bange huyu,sio bureJamaa ni true international performer kupenda kwake kujifunza ndio kumemfanya awe hivyo alivyo!
Watu kama Shaggy pamoja na uzee wake ana uwezo wa kupiga show hata masaa manne non stop! bila shaka hata Diamond lazima kajifunza kutoka kwa watu kama hawa. Sitaki kuamini kama kuna energy enhancers zozote anazotumia.
Sema mzee baba ujui Hilo kauli Ina maana gani huyo mwenzako anamkejeri kiba Kama ujui hapa imeingia Chaka na hao wote wanaosema hivyo ni fans wa diamond
Fanya na wewe ndumba tuone utafika wapiNdumba Mix
kwahiyo ma underground wengine wamefanikiwa kuingia wcb[emoji16][emoji16][emoji16].Domo Levo nyingine kabsaaa....Hakuna wa kumfilkia....Ata maunderground wanatamani kuwa kama yeye...ukiona Mtu underground anamsifia Kiba Jua alikosa pa Kuingilia Wcb.
Aliemuelewa anitafsirie maana hata sijajua kaongea lugha gani. Pengine kunajambo la maana.xaunamshangaa diamond akat wangawanakexhakaribu kila cku na asubuh hawalali wapo busy2... huyu jamaa anajua anachofanya anatengenezahexhmayake binafsi...
Mh kuna harufu ya kamba hap.Moja kati ya Binadamu nnaowaogopa apa duniani kwa ku'perform mfululizo bila kuchoka ni Chris Brown..Chalii alikua na show Kenya siku iyoiyo akasafiri hadi Australia kwenye show.kesho yake ana show tena Virginia alaf saa10 alikua na show South Korea,Just imagine mtu huyo!!
Diamond kafanya mambo ambayo yatachukuwa muda mrefu sana kuja kufanywa na msanii mwingine wa hapa Tz.
🤣🤣🤣🤣 , jamaa katukaza kamba mchana kweupe kabisaMh kuna harufu ya kamba hap.
MshumaaaYaani kiba100 angekuwa na uwezo angekimbia nchi au angeomba poo manake jammaa wanamburuza mpaka aibu...ila mna moyo sana washabiki wake......hit song yake latest ni ipi?
Sawaí ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£í ¾í´£ , jamaa katukaza kamba mchana kweupe kabisa
Watatokea wengi TU japokuwa itachukua muda ila lazima watokee baada ya Mr nice HAKUNA MTU aliyekua anaamini IPO siku atatokea msanii mkubwa km Mr nice na Hugo mond HAKUNA aliyekuwa anajua atakuwa mkubwa hivi but jamaa kawa mkubwa usiseme hatatokea usiseme hivo TENA usirudieShow yake ya Burundi ya VIP kiingilio cha chini kilikuwa dola 350 ichenji kwa hela za bongo alafu kajaza uwanja mpaka Kuna mashabiki wengine wamebaki nje ndo ujue huyu jamaa anatisha km alivyosema member mmoja hapo juu hakuta tokea tena kuwa na msanii mkubwa kama diamond Mambo anayofanya ni makubwa Sana.