Diamond akidai kalipwa hivyo ni sawa, maisha yake yanaonekana. Yule mwenzake akidai kalipwa 100 tutashangaa maana hata humu JF kuna thread inasema nyumba hana!
Diamond akidai kalipwa hivyo ni sawa, maisha yake yanaonekana. Yule mwenzake akidai kalipwa 100 tutashangaa maana hata humu JF kuna thread inasema nyumba hana!
Rich mavoko hata milion 2 simlipi.
Nimekuja Dada yangu kipenzi mimi ni DIAMOND piga ua galagaza, MIMI NAONA KAMA ALIZULUMIWA ALISTAHILI KULIPWA KAMA MILIONI 350 SI VIELA HIVI. Kumbe bado anatoza hela ndogo sana kuliko ukubwa wa hadhi yake.
Nimekuja Dada yangu kipenzi mimi ni DIAMOND piga ua galagaza, MIMI NAONA KAMA ALIZULUMIWA ALISTAHILI KULIPWA KAMA MILIONI 350 SI VIELA HIVI. Kumbe bado anatoza hela ndogo sana kuliko ukubwa wa hadhi yake.
Nimekuja Dada yangu kipenzi mimi ni DIAMOND piga ua galagaza, MIMI NAONA KAMA ALIZULUMIWA ALISTAHILI KULIPWA KAMA MILIONI 350 SI VIELA HIVI. Kumbe bado anatoza hela ndogo sana kuliko ukubwa wa hadhi yake.
Ngoja mashabiki wake wakusikie
kedrick kweli we kilaza daimond ni sawa amzidi kiba kwenye hela za show ila kiba anaingiza pesa nyingi kwenye show kushinda daimond daimond ana team kubwa wanaomtegemea romy jons ,kifesi four managers ,zari mama yake ,petit na esma ,watoto wa esma ,queen darling , watato wawili anawalipia ada walioshinda shindano la no 1 madancers nk .jamaa anaishi maisha ya kuigiza sana ila pesa ya kawaida tu anayopata akiwalipa wote hao hata kama ni 1biliion ana team kubwa sana kushinda kiba ndo maana daimond anamfulululizo wa show ili awalipe hao jamaa [emoji115] [emoji115] [emoji115]Ali kiba alilipwa laki mbili na nusu pwilo
ndo maana alienda kupiga show moshi na ilikuwa anaumwa na mguu hapumziki show coz ana team kubwa sana inayomtegemea otherwise ni drug dealerAli kiba alilipwa laki mbili na nusu pwilo
kedrick kweli we kilaza daimond ni sawa amzidi kiba kwenye hela za show ila kiba anaingiza pesa nyingi kwenye show kushinda daimond daimond ana team kubwa wanaomtegemea romy jons ,kifesi four managers ,zari mama yake ,petit na esma ,watoto wa esma ,queen darling , watato wawili anawalipia ada walioshinda shindano la no 1 madancers nk .jamaa anaishi maisha ya kuigiza sana ila pesa ya kawaida tu anayopata akiwalipa wote hao hata kama ni 1biliion ana team kubwa sana kushinda kiba ndo maana daimond anamfulululizo wa show ili awalipe hao jamaa [emoji115] [emoji115] [emoji115]
#nagharamia
mapromoter wake si ndo hao mamanager wake we unajua salaam sk ana kazi gani pale ???mfulizo wa show c wanaleta mapromoter sio yeye kiba hapati show msanii gani hadi sasa ivi ana nyimbo mpya ya kutoa :mvutaji:
asipige show afe njaa we una fikiri wcb kuna watu wangapi ????mfulizo wa show c wanaleta mapromoter sio yeye kiba hapati show msanii gani hadi sasa ivi ana nyimbo mpya ya kutoa :mvutaji:
asipige show afe njaa we una fikiri wcb kuna watu wangapi ????