Mtimti
JF-Expert Member
- Feb 23, 2008
- 942
- 647
Diamond akidai kalipwa hivyo ni sawa, maisha yake yanaonekana. Yule mwenzake akidai kalipwa 100 tutashangaa maana hata humu JF kuna thread inasema nyumba hana!
Vipaumbele ktk maisha vinatofautiana ndugu. ....we unawaza kuwa na nyumba lkn mwenzio anawaza kuhonga. ..mwingine anawaza kuanza na gari la pesa ndefu