brigedia mafia
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 2,260
- 2,279
Haya sasa kwa wale ambao hamkubahatika kuziona picha za b' day ya Zari iliyofanyika huko ZNZ hizi hapa ndio picha zenyewe
Haya sasa wabongo kazi yao kufikiria mtaachana lini ila nyinyi ndio kwanzaaaa penzi linachanua ,daaah huyo Zari nae kama Shombe Shombe , Wema katumia kila gia muachane na Zari ikiwemo kutengeneza team ila ngoma imedunda mwishowe akapaniki , hah ha ha daaah usiliache hilo toto hilo ,toto linalojielewa lenye IQ ya kipekee kabisa.
Ulivyomnunulia nyumba shem letu Zari wakaanza tena mara oo nyumba mmepanga eti kama hamjapanga muoneshe hati ya nyumba , hah ha ha inaonekana ngoma imepenya hiyo mwamba endelea kuwanyoosha tu maana hamna namna.
Ulivyotoa Salome wakaanza tena majungu eti Mobeto ndio Salome kisa Zari hajatokea mule kwa kuwa wasafi wote waliuza sura na mademu zao kama vile harmo na wolper, na iyobo na aunt.
Mwisho ningependa kumtakia Zari maisha marefu yenye Furaha tele na pia nakutakia na wewe maisha marefu uzidi kututengenezea ngoma kali , na pia nakukubali sana mwamba hujawahi kuniangusha tangu uingie kwenye gemu
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati# [HASHTAG]#siyo[/HASHTAG] mtu wa mchezo mchezo#
Haya sasa wabongo kazi yao kufikiria mtaachana lini ila nyinyi ndio kwanzaaaa penzi linachanua ,daaah huyo Zari nae kama Shombe Shombe , Wema katumia kila gia muachane na Zari ikiwemo kutengeneza team ila ngoma imedunda mwishowe akapaniki , hah ha ha daaah usiliache hilo toto hilo ,toto linalojielewa lenye IQ ya kipekee kabisa.
Ulivyomnunulia nyumba shem letu Zari wakaanza tena mara oo nyumba mmepanga eti kama hamjapanga muoneshe hati ya nyumba , hah ha ha inaonekana ngoma imepenya hiyo mwamba endelea kuwanyoosha tu maana hamna namna.
Ulivyotoa Salome wakaanza tena majungu eti Mobeto ndio Salome kisa Zari hajatokea mule kwa kuwa wasafi wote waliuza sura na mademu zao kama vile harmo na wolper, na iyobo na aunt.
Mwisho ningependa kumtakia Zari maisha marefu yenye Furaha tele na pia nakutakia na wewe maisha marefu uzidi kututengenezea ngoma kali , na pia nakukubali sana mwamba hujawahi kuniangusha tangu uingie kwenye gemu
[HASHTAG]#Hance[/HASHTAG] mtanashati# [HASHTAG]#siyo[/HASHTAG] mtu wa mchezo mchezo#