Diamond: Nipo tayari kubadili jina

Ajiite tuu Nasib DiamondPlatnumz
 
“Lakini siku zote nitaendelea kumuheshimu kama mzee wangu, kumpenda kama mzee wangu na kumsaidia atakapohitaji msaada kwani hata baada ya kupata taharuki sikuachaga hizi huduma kila niposikia kuna hili na hili natakiwa kufanya,”
😂😂😂🚮
 
Akijiroga kubadilisha jina tu...basi na huo ndio utakuwa mwisho wa umaarufu wake kimziki. Jina linabeba uhalisia wa maisha yetu katika ulimwengu wa roho


Hizo ni imani zetu nyinyi Mormons
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…